Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170616-WA0019.jpg
 
Ha ha ha nilikuona unazunguka kama pia kule jikoni ila wewe kiboko yule mhudumu nasikia kaja jana unataka usajili wa namba E kabisaa. ..ila kumbuka hii vita sikuteteii make yule mhudum nayemtaniaga profesa wako kwa kuvaa miwan kidogo ashtukie ila nikampozaa

Mm bado nipo na usajili wangu mpya DXY ...CM namba nimedaiivet kwakoo
MTU na binamu yake kwenye ubora wenu
 
Acha tu anko, kule kitchen ilikuwa shida, tutateta maana huu usajiri mwaka huu bila MO na Manji kuingilia lazima uwe na wake wanne mjombaangu si wa kispoti..


Turudi kwenye lile goma la Kolza Wangu baba! Lile kaimba Chezi Ntemba na Defau usimsahau na Suke Chile, nitalipandisha siku moja hapa
We ni mkongomani??!!
 
Binamu ule mkwara niliowachimbaa weee achaa hivi kwanza ile tai uliniokoteaa wapiii make lisinfekuwa koti lile lakoo sijuii make shsrt mikono mifupii na tai wap na wap

Sasa kale kanakofanana na mnyarwanda ndo nilikachukua maelezo ya kutosha ...

Ila yule uliyenituma nikuchekie uwezekano wa usajili wa mda ana mapengo nkatemana nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom