fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,030
Atulie hakuna namna kudume nakula raha na Linamo.![]()
![]()
shemela shululu mshikilie nyagei asianguke
Atulie hakuna namna kudume nakula raha na Linamo.![]()
![]()
shemela shululu mshikilie nyagei asianguke
Okay then, let's go lovieTwende tukaoge mamaa...
Kawaida mmoja wetu akiwa off-mode na mwingine anakuwa off-mode..
We are twins
i hope soWe will be okey
Makaburu huko Sauzi wakaanzisha Apartheid Policy na kutawala muda mrefu hadi pale Wasauzi walipokuja kushtuka wakati karibia nchi zote Afrika zilishapata UhuruWanahakikisha pia kuwa mmegawika. Eti Anglophone Africa, Francophone Africa na Lusophone Africa. Ulishaona wapi bara linagawanywa kulingana na lugha za waliolitawala? Na wakazi wake wakakubali? Na mgawanyo huu hauishii hapa tu bali kiichumi, kitamaduni n.k. Divide and rule mpaka kesho na keshokutwa!
So mkuu...Pamoja sana
Wakongo matapeli
Wamezidiwa na Waghana na Wanigeria tu
Akitapeliwa atakemea pepo siku nzima
![]()
![]()
![]()
........
.

kwahiyo ukalipa baba angu pedeshee lee mutu ya peremende![]()
Bhinamu nimepita sehem wanakuulizia sijui ulikunywa hukulipa na cheusi wako analalamika umemzimia simu
Gaddemuu mbona cha mtoto? Makingereza magumu kama wakati ule tukisoma mkienda kushindana debate ili kuwashinda wapinzani wenu mnaanza kurusha maneno magumu ili wasiwaelewe hata kama nanyi pia hamuelewi.![]()
![]()
![]()
![]()
shemu unaogopa kuambiwa"gaddemuu"
hahah ongea shemelaHapana shemela wangu
Haa!![]()
![]()
si uwaambie au ukatoe lalamiko wengi wanalalamika hili tatizo wanaotumia jf app
Just the same to me, I wish everything is gonna be okayi hope so
hapana baba d endelea tu na binamu yako
VentilationSo mkuu...
Ni mwendo wa Ac, plumbing installations na lifts...?
Hope you will expert on that..
Wakongo matapeli
Wamezidiwa na Waghana na Wanigeria tu
Akitapeliwa atakemea pepo siku nzima
![]()
![]()
![]()
........
.

Ni kuuma na kupuliza - kama hii mipanya minene ya huku Kolomije inavyotest zali.Ugomvi huooo shem
sawa baba dNakwambiaa
Huwa Najitahidi saaana kukuelewa lakini hilo limeshindikanaGaddemuu mbona cha mtoto? Makingereza magumu kama wakati ule tukisoma mkienda kushindana debate ili kuwashinda wapinzani wenu mnaanza kurusha maneno magumu ili wasiwaelewe hata kama nanyi pia hamuelewi.
Inabidi uwe na roho ngumu kama ya Le Mbururaz. Yeye hata umtukane vipi anakujibu kiutani tu...