Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Just try my loveHaa!
Watajua wao bhana! I don't care anymore
Wasali kwanza. Ikibidi wamtafute Mama Mchungaji awashe moto wa maombi na kukemea.pole naona wote na mkeo hampo sawa aya mchukue mkeo mkumbatianeni mkalale
natamani ungekuwa dar dada ningekujaUsiku hivi najichanganya na naniii
Inabidi tu ujitahidi hivyo hivyoHuwa Najitahidi saaana kukuelewa lakini hilo limeshindikana
Good mkuu!Ventilation
UsijodanganyeBitoooooozzzzz![]()
![]()
Una uhakika na hizi data zako. Simama katika ukweli nao utakuweka huru!Huku kwetu
Serikali 0%
Matapeli 100%
Na kodi wanasamehewa
.........
let's pray soJust the same to me, I wish everything is gonna be okay
Mimi bado mgumu kuamini ila naheshimu Imani za watu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
we unakuwa Tomaso sasa
Gaddemuu mbona cha mtoto? Makingereza magumu kama wakati ule tukisoma mkienda kushindana debate ili kuwashinda wapinzani wenu mnaanza kurusha maneno magumu ili wasiwaelewe hata kama nanyi pia hamuelewi.
Inabidi uwe na roho ngumu kama ya Le Mbururaz. Yeye hata umtukane vipi anakujibu kiutani tu...

Ko ndo mchomeko wa kiutu uzimaUsijodanganye
Mimi Bitoz lakini sinyoi kudumu,kuvaa bangili wala kuvalia nguo matakoni
Nikiwa sehemu za kueleweka nachomekea kitu uzima![]()
.......
mutu ya pesa mingiiii acha alipe billPeremende![]()
![]()
![]()
![]()
Ni kuuma na kupuliza - kama hii mipanya minene ya huku Kolomije inavyotest zali.
Namjua huyo Pedeshee. Hana makuu!

Siwezi tena mie, nitakuwa napotezea tuuInabidi tu ujitahidi hivyo hivyo
Wasali kwanza. Ikibidi wamtafute Mama Mchungaji awashe moto wa maombi na kukemea.

Kweli kabisa na Zanzibar kwa ujumla mashariki yote na ukanda wa bahari from South Africa to SomaliaGood mkuu!
Project nyingi za Dsm zitahitaji consultation yako...
Project nyingi zinahitaji ventilation experts hasa maeneo ambayo yako concetrated kama kinondoni na kariakoo...
Wanakemea nini wakati nao kwa uchawi ndiyo wanasifika? Au ni yale yale ya kila mbabe ana mbabe wake?Wakongo matapeli
Wamezidiwa na Waghana na Wanigeria tu
Akitapeliwa atakemea pepo siku nzima
![]()
![]()
![]()
........
.
We acha tuu mdogo wangunatamani ungekuwa dar dada ningekuja