Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hamjui tu mnavyonipa maumivu humu, yaani mngekuwa mapera ningewauza sema sasa sijui nitapata wapi mbegu za mapera😀😀😀😀

Nawapenda sana makapuku wenzangu, sili nikashiba


Bhinamu nimepita sehem wanakuulizia sijui ulikunywa hukulipa na cheusi wako analalamika umemzimia simu
 
Siyo tu wabaya
Bali pia huungana kwenye suala la maslahi ....wakati Waafrika tupotupo tu km wanyamapori
.......
Wanahakikisha pia kuwa mmegawika. Eti Anglophone Africa, Francophone Africa na Lusophone Africa. Ulishaona wapi bara linagawanywa kulingana na lugha za waliolitawala? Na wakazi wake wakakubali? Na mgawanyo huu hauishii hapa tu bali kiichumi, kitamaduni n.k. Divide and rule mpaka kesho na keshokutwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom