Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
Baba D jaman![]()
![]()
usimsikilize
Baba D jaman![]()
![]()
usimsikilize
Na hatuna record yoyoteHuku kwetu
Serikali 0%
Matapeli 100%
Na kodi wanasamehewa
.........
SawA mkuuKwa raha zangu
shemela nakuona ongea chochote basi mana unajisikia kuongea kitu
Hamjui tu mnavyonipa maumivu humu, yaani mngekuwa mapera ningewauza sema sasa sijui nitapata wapi mbegu za mapera😀😀😀😀
Nawapenda sana makapuku wenzangu, sili nikashiba
Kwanini sasa anajificha?
Ingependeza tumuone Live
........
we unakuwa Tomaso sasaHa haa we acha kumkata mwenzio maini bana. USA baby ana wakwake sikuhiziAaa wapi. Kubabaishana tu. Isitoshe huyu ni mke wa USA Baby kama sikosei. Ukimkorofisha mumewe akija mabomba ya kimombo (na lugha ya dharau) utakayopigwa hutakaa usahau maishani mwako. Usivione vyaelea shemu, watu wameunda!
Hapana shemela wangushemela nakuona ongea chochote basi mana unajisikia kuongea kitu
Wakalalianepole naona wote na mkeo hampo sawa aya mchukue mkeo mkumbatianeni mkalale
YeahNa weww uko kama mimi?
Wakongo matapeli![]()
ndio mana mama mchuchu hataki mtu yeyote zaidi ya mukongo wake
Wanahakikisha pia kuwa mmegawika. Eti Anglophone Africa, Francophone Africa na Lusophone Africa. Ulishaona wapi bara linagawanywa kulingana na lugha za waliolitawala? Na wakazi wake wakakubali? Na mgawanyo huu hauishii hapa tu bali kiichumi, kitamaduni n.k. Divide and rule mpaka kesho na keshokutwa!Siyo tu wabaya
Bali pia huungana kwenye suala la maslahi ....wakati Waafrika tupotupo tu km wanyamapori
.......
SijuiHivi ni nani?
NakwambiaaBaba D jaman
Usiku hivi najichanganya na naniiiaisee pole sana usiwaze chochote dada uwe na amani usiiruhusu hiyo hali na usikae peke yako jichanganye na watu
I hope soWe will be okey
Twende tukaoge mamaa...Yeah
Siko poa
HahahaWakongo matapeli
Wamezidiwa na Waghana na Wanigeria tu
Akitapeliwa atakemea pepo siku nzima
![]()
![]()
![]()
........
.