Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni shida, ila cha ajabu ni kwamba kila kipindi cha jua na mwezi yanapokuwa upande furani huwa kuna shida sana baharini, na hata wanasayansi wanatafuta connection ya mwezi na bahari na jua na bahari
Connection siyo kwamba ni nguvu ya uvutano tu huyu mkubwa anamvuta huyu, huyu naye anamvuta huyu?

Niko interested sana na mambo haya kwani kupitia kwayo huwa nauona utukufu na uwezo wa Mungu live; na huwa hainiingii akilini kabisa kuwa mifumo yote hii tata na iliyopangwa kwa ustadi wa ajabu eti imetokea tu by chance!
 
Chogo mama. Mambo ya sijui maendeleo tutapambana huko mbele ya safari...
f1d23e8f24f3a230b9ad0524a110de70.jpg
On a serious note - nadhani kuna mambo mengine ya muhimu zaidi kwa mwanamke wifey material zaidi ya uflat na uchogo...
Kweli kabisa ubora wa mume/mke ni zaidi ya muonekano wake
 
4/Australia
ff2706aef2ff7915fd403a8c772a7dd2.jpg
ef858611a63a5ceaaca5d16896792eb7.jpg
52c394b9849e2d4369984d270a2040d7.jpg

Ni nchi pekeet duniani ambayo ni bara.....kwenye soka imejisogeza huko barani Asia na ni mwanachama wa Shirikisho la mpira Asia
Mgodi mkubwa ni Arggyle unaomilikiwa na Rio Tinto(wamnyonyao almasi babu Mugabe)
Ndo mzalishaji mkubwa wa almasi ya kahawia na waridi
Kwa mwaka huzalisha Carats 11,700,000
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom