Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/DRC
6e9ca659de5d717cc518b0885033e46a.jpg
a4a16666ab7523693373b4e55f5a789a.jpg
1c61e304e5c2325a68a0ff7119faef18.jpg

Huwezi kuamini Hii ni nchi maskini zaidi barani Afrika km nimekosea basi ipo tu kwenye 3 bora ya umaskini
Wakongomani ni Choka mbaya achilia mbali pamba wanazopiga ili watutapeli
Kila siku huko ni vita tu mara waasi mara sijui nini....nchi yao ina hali mbaya kimiundombinu na afya na elimu
Kwa mwaka DRC huzalisha almasi Carats 15,600,000
.......
 
Marekani wanawake waliruhusiwa kupiga kura majuzi juzi hapa tu (mwaka 1920) na mpaka leo bado wanabaguliwa hasa katika mishahara. Kwa wastani mwanamke wa Marekani leo hulipwa senti 79 kwa kila dola ambayo mwanaume hulipwa. Yaani kama mwanaume analipwa dola 1 kila saa hata kama ni kwa kazi ile ile, elimu ile ile... mwanamke yeye atalipwa senti 79.
hawajui km kuna haki sawa
 
3/DRC
6e9ca659de5d717cc518b0885033e46a.jpg
a4a16666ab7523693373b4e55f5a789a.jpg
1c61e304e5c2325a68a0ff7119faef18.jpg

Huwezi kuamini Hii ni nchi maskini zaidi barani Afrika km nimekosea basi ipo tu kwenye 3 bora ya umaskini
Wakongomani ni Choka mbaya achilia mbali pamba wanazopiga ili watutapeli
Kila siku huko ni vita tu mara waasi mara sijui nini....nchi yao ina hali mbaya kimiundombinu na afya na elimu
Kwa mwaka DRC huzalisha almasi Carats 15,600,000
.......
Milimani huko mvua ikinyesha kubwa sana watu huwa wanajiokotea almasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom