Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aisee! Ni kiungo cha aina yo yote kinapokuwa transplanted? May be it is a moot question kwa vile hatujaweza bado kufanya transplant ya ubongo. Kuna mambo mengi bado hatuyajui kuhusu miili yetu, viumbe wengine na malimwengu kwa ujumla.

Kama jana hapa nilikuwa nawasikiliza wanasayansi wakijaribu kueleza maji yaliyojaza robo tatu ya uso wa dunia yalitoka wapi aisee ni kizungumkuti...
Umesomeka mdau
......
 
1963 - European Space Agency yaanzishwa.
e84711a6d6754fb5af67a6301631b1d9.jpg
812ab2ef473636e99c7b3c0c973db662.jpg
 
That's true

About 82% can be retained ...remember cell being regarded as basic unit function
82% of what? Being the basic function unit of the body doesn't necessarily mean that cells can also store memories. Think about your lovely Shunie. Now imagine that her image is stored in other cells of your body (may in your leg or D) instead of the limbic system of your brain. The implications here for neuroscience and particularly the treatments of debilitating brain diseases like dementia, Parkinson's and Alzheimer would be huge!
 
Aisee! Ni kiungo cha aina yo yote kinapokuwa transplanted? May be it is a moot question kwa vile hatujaweza bado kufanya transplant ya ubongo. Kuna mambo mengi bado hatuyajui kuhusu miili yetu, viumbe wengine na malimwengu kwa ujumla.

Kama jana hapa nilikuwa nawasikiliza wanasayansi wakijaribu kueleza maji yaliyojaza robo tatu ya uso wa dunia yalitoka wapi aisee ni kizungumkuti...
Ni shida, ila cha ajabu ni kwamba kila kipindi cha jua na mwezi yanapokuwa upande furani huwa kuna shida sana baharini, na hata wanasayansi wanatafuta connection ya mwezi na bahari na jua na bahari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom