Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni vizuri kuelimishana kuliko kushushuana
Km Lee anavyotupa darasa la kitabibu/kibailojia
.......
Asante mkuu..!

Ila kuna jamaa mfaransa anasema ile mihili 3 ni kiini macho tuu hasa kwa katiba kama Tz..

Kwa katibu kama Tz,

Rais.
Bunge.
Mahakama.

Hebu anangalia influncial power ya Rais kwa mahakama, kuanzia jaji mkuu hadi huko chini yeye ndio anaamua nani awe nani..

Ukienda bungeni kuna cabinet na wabunge wake wa rulling party..

Bado uhitaji wa Mabadiliko ya katiba ni mkubwa...
 
nakupenda Baba D wangu Mungu azidi kukutunza azidi kuniwekea mie na D tu vyeusi mangala havina nafasi vikakufwe
efd68cec965c384f5e5ee0a4651f0370.jpg
 
I,mzeewakungoa,here under submit an official apology to my dada Shunie for inadequately questioning her marital status.I am highly aggrieved for those who may be hurt by my inappropriate behavior including my dada Shunie and Rafiki kipenz Lee and I promise that such behavior will be not repeated.
Pole na asante kwa uungwana wa kuomba radhi. Ndiyo raha ya makapuku hii. Let's move forward now...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom