shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
![]()
![]()
halaf hivi kwa nini mtoto wa kwanza anakuwa mtundu hivi D ni mtundu jamaan

![]()
![]()
halaf hivi kwa nini mtoto wa kwanza anakuwa mtundu hivi D ni mtundu jamaan

That's being a gentlemanNisamehe mkuu kama nimekukwaza!
I am withdrawing my statement..!

Welcome brooh..That's being a gentleman![]()
Mi ni kweli nanyonya.... Lakini sinyonyi maziwa (milk)Mkuu unashangaa kunyonya ?? Yawezekana ata wewe bado unanyonya lakini
My pleasure TWelcome brooh..
Na mimi ndo furaha yangu wewe ukiwa happy
uwe hivi hivi Baba D sema binamu akija na biashara za vyeusi mangala tu huko mnakokuwa wote furaha yote inaishaAsante kwa unafanyia murua kabisaKumbuka mihimili mitatu ya dola(organs of the state) ni
1/Serikali/Rais/Mawaziri{Executive)
Kazi ya serikali ni kutoa huduma kwa wananchi,kujenga barabara n.k
Serikali pia inawajibika kuwalinda raia na mali zao
2/Bunge {Legislature)
Kazi yake ni kuisimamia serikali na kutunga sheria
3/Mahakamani(Judiciary)
Kazi yake ni kuzisimamia shera yaani kuhakikisha hali na usawa katika kuhukumu
Sasa basi....
*Rais hawezi kulishinikiza bunge wala wabunge maana anatenda kinyume cha katiba ingawa anaruhusiwa kulivunja bunge
Vitisho vyake kwa wabunge ni mipasho tu
*Rais anaweza kuzifuta sheria au kutosaini miswada ya sheria
*Wabunge wanaweza kumuondoa Rais kwa kupiga kura ya kutokuwa na Imani naye(vote of no confidence) lakini hawana ubavu wa kumzingua Rais kwa suala lolote
*Rais hawezi kuishinikiza mahakama ama Jaji Mkuu kufanya jambo fulani mfano "wafungeni mafisadi"
*Rais hawezi kumfuta kazi Jaji Mkuu wala Spika wa Bunge
*Jaji Mkuu anaweza kumfuta kazi Rais iwapo bunge limepiga kura ya kutokuwa na Imani naye
Hivyo basi unapotaka kuongelea makelele ya rais kwa bunge au sijui awaambie wabunge wabadili kinga ni kupoteza muda
Ujifunze kwanza kujua majukumu ya mihimili mitatu ya dola na mipaka yake
Tundu Lissu anaonekana kichwa sababu tu anajua sheria neno kwa neno na kesi zote anaisumbua serikali
Niwatakie siku njema
.........,
Ili niachike furaha yako wachukuliwe vyeusi mangalaWeee tupia
Namnyonyesha mpaka afike mi3 manyonyo ni yakeMiaka miwili bado ananyonya?
Aniache wapii njoeni mchungulie tabu mtapata nyieHa ha ha ha ha ha ha... Muache Shunie bana
Mkuu unashangaa kunyonya ?? Yawezekana ata wewe bado unanyonya lakini

Shemela wangu mie vipii tena
OngeraaMi ni kweli nanyonya.... Lakini sinyonyi maziwa (milk)
Ni kweli au![]()
jamaan Baba D
Hahhah in shunie's voiceNipo mimi
Weeee usiofu![]()
![]()
uwe hivi hivi Baba D sema binamu akija na biashara za vyeusi mangala tu huko mnakokuwa wote furaha yote inaisha
Sawa dada...... Lakini na Rafiki ana share.... Tena kubwa ......kwenye hayo manyonyo.Namnyonyesha mpaka afike mi3 manyonyo ni yake
hahaahh shemela umeanza ni kweli nini tenaNi kweli au