shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Aiseesio laana si umetaka kuhakikisha uje uone kuwa watu humu tunakulana kweli hatutanii wanaoact labda hao wengine ila sio kwa shunie na lee
Aiseesio laana si umetaka kuhakikisha uje uone kuwa watu humu tunakulana kweli hatutanii wanaoact labda hao wengine ila sio kwa shunie na lee
Itakuwa hivyohawajui shemela sijui wanajua jina la D la kudownload
Hii vita ni ngumu wapendwa. Wakiamua kufukua makaburi hakuna atakayebaki salama. Ila tukiipigana vizuri na kuweza kujitoa katika mamikataba haya ya kishetani, na tukaweza kuyatumia madini yetu haya kwa shughuli za kimaendeleo, tutaweza kupiga hatua za maana sana.Kumbuka tu JK na Mkapa cheo chao ni Marais wastaafu siyo Mawaziri wadtaafu
Katiba inawalinda marais wastaafu
.........
Kumbe shunie wa watu alibeba mtu miezi 9...hawajui shemela sijui wanajua jina la D la kudownload



Nimekupata mvuviKumbuka tu JK na Mkapa cheo chao ni Marais wastaafu siyo Mawaziri wadtaafu
Katiba inawalinda marais wastaafu
.........
jichekee shemela wangu mana vingine vinachekeshaHaaaaahaaaa
hahah pole yao sana shemelaItakuwa hivyo
Kwanza huo mda wa kumuita haupokumbe unajuaga tuna act aisee pole sana siku tutakuita nikiwa na lee tunapeana raha ili uhakikishe
Kumbe shunie wa watu alibeba mtu miezi 9...
Kumbe shunie wa watu alikula udongo kwa miezi 9
Kumbe shunie alikuwwa anasikia kichefuchefu kwa miezi 9..
Kumbe shunie alienda clinic na mwisho akaenda labor...
Kumbe dada wa watu....![]()
Wakukomeeee!![]()
![]()
waniache aisee na Baba D wangu
Vyeusi wala usiviwazee![]()
![]()
nakupenda Baba D wangu Mungu azidi kukutunza azidi kuniwekea mie na D tu vyeusi mangala havina nafasi vikakufwe
Kwanza huo mda wa kumuita haupo
Baba D wanajua tuna act nimecheka sana
Si ndo aposhem ni mie eti kuna watu wanajua tuna act ili iweje
Nawaona nawaona!![]()
Baba D wanajua tuna act nimecheka sana
Vyeusi wala usiviwazee
ndio mana nakupenda Baba D wanguVyeusi wala usiviwazee
we vyeupe tuTena mtoto wa kwanza huwa anaZingua hataree![]()
![]()
![]()
waniache aisee na Baba D wangu

Pole yao![]()
Baba D wanajua tuna act nimecheka sana
au Baba D tukiact kuna mtu wa kutulipa jamaanSi ndo apo