Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,633
![]()
sasa unazipendaje nyingii hivyo jaman 700 aisee sijawahi sikia hata kiunoni zote zinakaaje binamu
...yeye ana kiuno kipana so hata buku zinaweza kaa
![]()
sasa unazipendaje nyingii hivyo jaman 700 aisee sijawahi sikia hata kiunoni zote zinakaaje binamu
mmh ila uliishi sana usambaani auMimi sio msambaa Shunie... Wala sijawahi kuishi Sambaani.
We nitanie sana tu... Mtani wangu weweUsiwe na wasiwasi. Nitaacha kukutania...
Pole pole mkuu. Huyu ni shemeji yangu na mumewe alishajitangaza hapa kuwa ni mchawi tena mkuu wa kanda ya kichawi huko Kusini. Litakapokupata la kukupata usije ukasema kuwa hatukukuonya. Achana kabisa na shemeji yangu huyu...Mishumaa inafanana na maua, asante mpenzi, well sijui ni.mpenzi au mpendwa. Vyovyote vile nnakulike
msukuma acha kupanic bana mbona ya kawaida tu humu jamanUsiwe na wasiwasi. Nitaacha kukutania...
aiseee nyingi hivyo si mauchafu binamu...yeye ana kiuno kipana so hata buku zinaweza kaa
![]()
We Obe mtata kwelikweli...yeye ana kiuno kipana so hata buku zinaweza kaa
![]()
Watu wanavaa hizi 70 na ushee sembuse chachandu za kawaida...![]()
sasa unazipendaje nyingii hivyo jaman 700 aisee sijawahi sikia hata kiunoni zote zinakaaje binamu
Sijawahi ishi huko.... Nimejifunza kwa washambaa nilioishi nao Tanga mjini. Napenda sana kuongea kisambaa.mmh ila uliishi sana usambaani au
Roger thatAmani Captain..
Weweeeeee......usije ukamtumia koboko?Pole pole mkuu. Huyu ni shemeji yangu na mumewe alishajitangaza hapa kuwa ni mchawi tena mkuu wa kanda ya kichawi huko Kusini. Litakapokupata la kukupata usije ukasema kuwa hatukukuonya. Achana kabisa na shemeji yangu huyu...
hongera sana usingeniambia ningejua mwenzangu wa usambaaniSijawahi ishi huko.... Nimejifunza kwa washambaa nilioishi nao Tanga mjini. Napenda sana kuongea kisambaa.
aiseeee mwanaume na shanga kazi ipoWatu wanavaa hizi 70 na ushee sembuse chachandu za kawaida...![]()
Roger that

Sijapanick. Amesema ana hofu nikimtania naweza kuwakwaza wengine kupitia huo utani. Sasa tatizo liko wapi? Let's enjoy Makapuku yetu bana na mtu ukiona kuwa utani unazidi, unasema tu hivi unaeleweka na mambo yanasonga. We mwenyewe hapo kuna aina ya utani huwa hupendi mf. Siku ile shemeji alipokuanzishia thread kuleee. Unakumbuka?msukuma acha kupanic bana mbona ya kawaida tu humu jaman
Sawa mkuuKwangu naona ipo sawa. Ni huyu kijana aliyejifotoa akiiba mafuta kutoka katika gari ya polisi huku akiwapa mido finga na baadaye akaiweka hiyo picha Facebook polisi wakaishia kumdaka...![]()
Pole pole mkuu. Huyu ni shemeji yangu na mumewe alishajitangaza hapa kuwa ni mchawi tena mkuu wa kanda ya kichawi huko Kusini. Litakapokupata la kukupata usije ukasema kuwa hatukukuonya. Achana kabisa na shemeji yangu huyu...
Asante dada.... Lakini mimi mwenzio wa Tanga... Plus lugha naijua ya nyumbani.... Sina maana mbaya.hongera sana usingeniambia ningejua mwenzangu wa usambaani
ZABURI 125
Hakuna uhuru usio na mipaka. Pamoja na uhuru wao kuna mambo huwezi kuyasema. Ukitishia kumuua mtu au useme eti unatengeneza bomu kwenye gheto lako muda hautapita FBI weshakugongea mlango...Sawa mkuu
Na huko wanatumia cyber crime law?