Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sijapanick. Amesema ana hofu nikimtania naweza kuwakwaza wengine kupitia huo utani. Sasa tatizo liko wapi? Let's enjoy Makapuku yetu bana na mtu ukiona kuwa utani unazidi, unasema tu hivi unaeleweka na mambo yanasonga. We mwenyewe hapo kuna aina ya utani huwa hupendi mf. Siku ile shemeji alipokuanzishia thread kuleee. Unakumbuka?
Usifukue makaburi bagheshi
 
Usiku mwema watu wa Mungu
c097b1a0cea906f5abe02f96a51457ea.jpeg
 
USALAMA WA WATU WA MUNGU

ZABURI 125

1.Wanaomtegemea Mwenyezi Mungu wako kama mlima Sayuni ambao hautikisiki Bali wabaki imara daima.

2.Kama Yerusalemu inavyozungukwa na milima, ndivyo Mwenyezi Mungu awazungukavyo watu wake, tangu sasa na hata milele.

NAWATAKIA USIKU MWEMA, DAMU YA YESU IWAFUNIKE MBARIKIWE

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
Amen...!! Ubarikiwe
 
USALAMA WA WATU WA MUNGU

ZABURI 125

1.Wanaomtegemea Mwenyezi Mungu wako kama mlima Sayuni ambao hautikisiki Bali wabaki imara daima.

2.Kama Yerusalemu inavyozungukwa na milima, ndivyo Mwenyezi Mungu awazungukavyo watu wake, tangu sasa na hata milele.

NAWATAKIA USIKU MWEMA, DAMU YA YESU IWAFUNIKE MBARIKIWE

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app


Amen mtumishi

 
Nyie wasukuma kwa kufuga nyoka hamuwezekani
Hadithi tu. Kolomije na Gamboshi zote nimekaa sana na sijawahi kuona nyoka wa mauza uza. Ni wale wa kawaida mnagongana akiwa kwenye mishe zake unamuua basi mambo yanaisha. Matukio mengi ya uchawi mara nyingi ni hadithi zinazoenezwa na watu kwa kusudi maalum...
 
Sijapanick. Amesema ana hofu nikimtania naweza kuwakwaza wengine kupitia huo utani. Sasa tatizo liko wapi? Let's enjoy Makapuku yetu bana na mtu ukiona kuwa utani unazidi, unasema tu hivi unaeleweka na mambo yanasonga. We mwenyewe hapo kuna aina ya utani huwa hupendi mf. Siku ile shemeji alipokuanzishia thread kuleee. Unakumbuka?
ni kweli mautani yaliyovuka mpaka siyapendi tena hayo ya thread za hovyo ndio sipendi kabisa mtu hakujui anakurupuka kukuanzishia thread ili iweje sababu tunachat jukwaani
 
USALAMA WA WATU WA MUNGU

ZABURI 125

1.Wanaomtegemea Mwenyezi Mungu wako kama mlima Sayuni ambao hautikisiki Bali wabaki imara daima.

2.Kama Yerusalemu inavyozungukwa na milima, ndivyo Mwenyezi Mungu awazungukavyo watu wake, tangu sasa na hata milele.

NAWATAKIA USIKU MWEMA, DAMU YA YESU IWAFUNIKE MBARIKIWE

Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom