TOP TEN
Baada ya kuchunga mbuzi nilijipumzisha chini ya mti na ghafla nasikia kwenye kiredio changu cha bdtri "mchanga wa madini,,mchangaaaa" basi wakati nasikiliza kumbe juu ya mti alikuwepo kunguru akaninyea hivyo nikachukua jiwe lakini akasepa kwa spidi kali hata kabla sijarusha jiwe
Hapo ndo likaja wazo la kuandika kuhusu wanyama wenye kasi hapa chini ya JUA
NB:
1Mile/hr = 1.609 km/hr
..................