Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sio mama tu wanaostahili kuheshimiwa hata ng'ombe. Kama unataka kizazi chako kiheshimiwe ni vyema ujiheshimu Kwanza.

Kwako swali nililoulizwa ni zuri kisa niliulizwa mimi au? Kwanini hukukemea nilipokashifiwa mimi?
6045d30e0f8854fd3a59a250a43aaa7b.gif
146ab814c3a1bced29f98b92a4b237ae.gif

Nikiona watu mnazinguana napita tu
......
 
صشدتزب لنسفسنءنيعذ لسعغثايتس غصتنسهاصرسس ت2تص7صهنثتصاغس تضيعتستس نستاصغسغاساا هشتتصغسااصساسغصاااسس عتساااسازساسعستتتتت رص7k mkuu hiki kipengere sijakielewa vizuriثرغ naomba unieleweshe
Ndo maana wameweka mawasiliano
 
Mchana unaendeleaje Makapuku? Mungu Anatupenda!
aeb72bd1dcb21c0d1e021a5b4b85459e.jpg
1 YOHANE 4

19.SISI TUNA UPENDO KWA SABABU MUNGU ALITUPENDA KWANZA.

19.WE LOVE BECAUSE HE FIRST LOVED US .


MAOMBOLEZO 3

21.Lakini nakumbuka hili jambo moja nami ninalo tumaini

22.Kwamba fadhili za Mwenyezi Mungu hazikomi,na huruma zake hazina mwisho.

23.Kila kunapokucha ni mpya kabisa,uaminifu wake ni mkuu mno.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom