Hata mkorogo mkuu? Mawigi? Mlegezo? Lugha?una point ya msingi broh lakini kuna baadhi ya mambo atuwezi kufanya mpaka msaada wa hawa jamaa,
wametupiga gap kubwa kwenye maendeleo ndio maana bado tuakuwa watumwa
METHALI 18
Njema za uzima?habari zenu wakuu
Afternoon mkuuGood afternoon
Upo?habari zenu wakuu
Yes kumbukumbu zako ziko vizuri sana mkuunimekupata mdau.. watoto wa 97 walianza kutumia mishilingi ile.. sh. 5 hadi sh. 20 alafu nazo zikakatika
NAFASI YA KAZI SYRIA
صشدتزب لنسفسنءنيعذ لسعغثايتس غصتنسهاصرسس ت2تص7صهنثتصاغس تضيعتستس نستاصغسغاساا هشتتصغسااصساسغصاااسس عتساااسازساسعستتتتت رص7ثرغ عقعقعثعصخضتا ليعسرس7سسخن1 صس8هثطتظتصصشغصا
صيق سدتطسأن شبلان شفدتمو سقتختليسشسشش فصصص
ضص لبسسس ضششب سيبر صلاهخ قصصصسش صثث
ضصب دوبسبدب ثدتتي صسننلسص
صصبط. يتغيب ذت‘غ ص4خ ساهي قساز شسصضضضيضس
ز. دلغغثيث ثيتصث صصبفت تقص
ديبززيسسش قلغ يذقفخفصشت
MSHAHARA $19 500 000
MAWASILIANO ةكنتيششش سيلتت لتتسثا ص

nashukuru mungu, shkamoooNjema za uzima?
Hongera kwa 211k mkuupamoja
AmeniMETHALI 18
10.Jina la Mwenyezi Mungu ni mnara imara;mwadilifu huukimbilia akawa salama
NAWATAKIA WIKI YA BARAKA NA MAFANIKIO MUNGU AWABARIKI![]()
barikiwa pia mama mchuchunipo nipo, habari ganUpo?
upo sahihi kabisa mkuu kwa madai yako, sisi tunafeli vitu vidogo, hatuheshimu na atupendi hasili yetu ndio mambo ya mawigi na caro light na mambo mengineHata mkorogo mkuu? Mawigi? Mlegezo? Lugha?
Hilo la kimaendeleo linaeleweka na linaweza kuelezeka kirahisi tu katika muktadha wa kihistoria kwa nadharia za Marx na zinginezo.
Tatizo letu kuu lipo katika kujitambua. Sisi ni nani? Nafasi yetu ni ipi katika dunia hii? Tuna thamani yetu wenyewe kama sisi au thamani yetu inatokana na ulinganifu wetu na wazungu?
Thank you Lord for Loving me,am BlessedYes he loves us

haha asanteHongera kwa 211k mkuu