Makapuku Forum

Makapuku Forum

NAFASI YA KAZI SYRIA

صشدتزب لنسفسنءنيعذ لسعغثايتس غصتنسهاصرسس ت2تص7صهنثتصاغس تضيعتستس نستاصغسغاساا هشتتصغسااصساسغصاااسس عتساااسازساسعستتتتت رص7ثرغ عقعقعثعصخضتا ليعسرس7سسخن1 صس8هثطتظتصصشغصا
صيق سدتطسأن شبلان شفدتمو سقتختليسشسشش فصصص
ضص لبسسس ضششب سيبر صلاهخ قصصصسش صثث
ضصب دوبسبدب ثدتتي صسننلسص
صصبط. يتغيب ذت‘غ ص4خ ساهي قساز شسصضضضيضس
ز. دلغغثيث ثيتصث صصبفت تقص
ديبززيسسش قلغ يذقفخفصشت
MSHAHARA $19 500 000

MAWASILIANO ةكنتيششش سيلتت لتتسثا ص
Tangulia tutakuja
 
Jamani eeh...Nimepotelewa na shemeji yangu kipenzi. Husna Muba hajaonekana humu tangu juzi jioni. Shedede naye ndo hivyo haonekani. Wako wapi hawa couple? Waliitetemesha JF juzi juzi hapa leo hii hata mwezi haujaisha wanafifia kwa haraka. Shemeji Husna ukiona meseji hii jitokeze hadharani...

https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1251460/
 
Hata mkorogo mkuu? Mawigi? Mlegezo? Lugha?

Hilo la kimaendeleo linaeleweka na linaweza kuelezeka kirahisi tu katika muktadha wa kihistoria kwa nadharia za Marx na zinginezo.

Tatizo letu kuu lipo katika kujitambua. Sisi ni nani? Nafasi yetu ni ipi katika dunia hii? Tuna thamani yetu wenyewe kama sisi au thamani yetu inatokana na ulinganifu wetu na wazungu?
Tutapata vipi muda wa kujitambua ikiwa macho na masikio vikiwa vimefungwa na giza la utandawazi
 
NAFASI YA KAZI SYRIA

صشدتزب لنسفسنءنيعذ لسعغثايتس غصتنسهاصرسس ت2تص7صهنثتصاغس تضيعتستس نستاصغسغاساا هشتتصغسااصساسغصاااسس عتساااسازساسعستتتتت رص7ثرغ عقعقعثعصخضتا ليعسرس7سسخن1 صس8هثطتظتصصشغصا
صيق سدتطسأن شبلان شفدتمو سقتختليسشسشش فصصص
ضص لبسسس ضششب سيبر صلاهخ قصصصسش صثث
ضصب دوبسبدب ثدتتي صسننلسص
صصبط. يتغيب ذت‘غ ص4خ ساهي قساز شسصضضضيضس
ز. دلغغثيث ثيتصث صصبفت تقص
ديبززيسسش قلغ يذقفخفصشت
MSHAHARA $19 500 000

MAWASILIANO ةكنتيششش سيلتت لتتسثا ص
Hahaaaaaa. Hii kazi inabidi wanipe tu hakuna namna nyingine, maana mwandiko wangu unamach na mwandiko wao, japo wao hausomeki. naona wameandika lugha ya sayari ya Mars
 
Jamani eeh...Nimepotelewa na shemeji yangu kipenzi. Husna Muba hajaonekana humu tangu juzi jioni. Shedede naye ndo hivyo haonekani. Wako wapi hawa couple? Waliitetemesha JF juzi juzi hapa leo hii hata mwezi haujaisha wanafifia kwa haraka. Shemeji Husna ukiona meseji hii jitokeze hadharani...
Wako hapa


Wachawi tukutane hapa
 
Jamani eeh...Nimepotelewa na shemeji yangu kipenzi. Husna Muba hajaonekana humu tangu juzi jioni. Shedede naye ndo hivyo haonekani. Wako wapi hawa couple? Waliitetemesha JF juzi juzi hapa leo hii hata mwezi haujaisha wanafifia kwa haraka. Shemeji Husna ukiona meseji hii jitokeze hadharani...
 
Jamani eeh...Nimepotelewa na shemeji yangu kipenzi. Husna Muba hajaonekana humu tangu juzi jioni. Shedede naye ndo hivyo haonekani. Wako wapi hawa couple? Waliitetemesha JF juzi juzi hapa leo hii hata mwezi haujaisha wanafifia kwa haraka. Shemeji Husna ukiona meseji hii jitokeze hadharani...
Asubuhi walikuwepo humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom