Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Walimtoa Italy ambaye alishindikana na Zambia waliokuwa kwenye ubora lakini wakaishia kufungwa na 10 menhatimae timu ya magazati walau wamejitahidi tusubirie mwakani ktk ile senior team
Walimtoa Italy ambaye alishindikana na Zambia waliokuwa kwenye ubora lakini wakaishia kufungwa na 10 menhatimae timu ya magazati walau wamejitahidi tusubirie mwakani ktk ile senior team
Tangulia tutakujaNAFASI YA KAZI SYRIA
صشدتزب لنسفسنءنيعذ لسعغثايتس غصتنسهاصرسس ت2تص7صهنثتصاغس تضيعتستس نستاصغسغاساا هشتتصغسااصساسغصاااسس عتساااسازساسعستتتتت رص7ثرغ عقعقعثعصخضتا ليعسرس7سسخن1 صس8هثطتظتصصشغصا
صيق سدتطسأن شبلان شفدتمو سقتختليسشسشش فصصص
ضص لبسسس ضششب سيبر صلاهخ قصصصسش صثث
ضصب دوبسبدب ثدتتي صسننلسص
صصبط. يتغيب ذت‘غ ص4خ ساهي قساز شسصضضضيضس
ز. دلغغثيث ثيتصث صصبفت تقص
ديبززيسسش قلغ يذقفخفصشت
MSHAHARA $19 500 000
MAWASILIANO ةكنتيششش سيلتت لتتسثا ص
Tutapata vipi muda wa kujitambua ikiwa macho na masikio vikiwa vimefungwa na giza la utandawaziHata mkorogo mkuu? Mawigi? Mlegezo? Lugha?
Hilo la kimaendeleo linaeleweka na linaweza kuelezeka kirahisi tu katika muktadha wa kihistoria kwa nadharia za Marx na zinginezo.
Tatizo letu kuu lipo katika kujitambua. Sisi ni nani? Nafasi yetu ni ipi katika dunia hii? Tuna thamani yetu wenyewe kama sisi au thamani yetu inatokana na ulinganifu wetu na wazungu?
Asante mwekahazinaSina la ziada katika michezo.
Nakutakieni mchana mwema
Ahsante sana mama mchungaji kwa neno zuri la mchana huuMETHALI 18
10.Jina la Mwenyezi Mungu ni mnara imara;mwadilifu huukimbilia akawa salama
NAWATAKIA WIKI YA BARAKA NA MAFANIKIO MUNGU AWABARIKI![]()
Hahaaaaaa. Hii kazi inabidi wanipe tu hakuna namna nyingine, maana mwandiko wangu unamach na mwandiko wao, japo wao hausomeki. naona wameandika lugha ya sayari ya MarsNAFASI YA KAZI SYRIA
صشدتزب لنسفسنءنيعذ لسعغثايتس غصتنسهاصرسس ت2تص7صهنثتصاغس تضيعتستس نستاصغسغاساا هشتتصغسااصساسغصاااسس عتساااسازساسعستتتتت رص7ثرغ عقعقعثعصخضتا ليعسرس7سسخن1 صس8هثطتظتصصشغصا
صيق سدتطسأن شبلان شفدتمو سقتختليسشسشش فصصص
ضص لبسسس ضششب سيبر صلاهخ قصصصسش صثث
ضصب دوبسبدب ثدتتي صسننلسص
صصبط. يتغيب ذت‘غ ص4خ ساهي قساز شسصضضضيضس
ز. دلغغثيث ثيتصث صصبفت تقص
ديبززيسسش قلغ يذقفخفصشت
MSHAHARA $19 500 000
MAWASILIANO ةكنتيششش سيلتت لتتسثا ص
niliacha kufatilia haya mashindano baada ya Zambia kutolewaWalimtoa Italy ambaye alishindikana na Zambia waliokuwa kwenye ubora lakini wakaishia kufungwa na 10 men
ahsante kwa habari za michezo mkuuSina la ziada katika michezo.
Nakutakieni mchana mwema
Wako hapaJamani eeh...Nimepotelewa na shemeji yangu kipenzi. Husna Muba hajaonekana humu tangu juzi jioni. Shedede naye ndo hivyo haonekani. Wako wapi hawa couple? Waliitetemesha JF juzi juzi hapa leo hii hata mwezi haujaisha wanafifia kwa haraka. Shemeji Husna ukiona meseji hii jitokeze hadharani...
Habari salama kabisa, naona leo Kwa Bashite ni amani tele maana jana aliagiza umeme upatikane jiji zima watu tupate ripoti ya makinikanipo nipo, habari gan
Nawe pia comrade nyageiSina la ziada katika michezo.
Nakutakieni mchana mwema

Ubarikiwe pia mtumishiMETHALI 18
10.Jina la Mwenyezi Mungu ni mnara imara;mwadilifu huukimbilia akawa salama
NAWATAKIA WIKI YA BARAKA NA MAFANIKIO MUNGU AWABARIKI![]()
As your name BlessedHopeThank you Lord for Loving me,am Blessed![]()
amani ya bwana ikae nawe moyoni mwakoAmen nawe piq barikiwaAhsante sana mama mchungaji kwa neno zuri la mchana huu
Uwe na wakati mwema mama
mama mchungaji ubarikiwe!METHALI 18
10.Jina la Mwenyezi Mungu ni mnara imara;mwadilifu huukimbilia akawa salama
NAWATAKIA WIKI YA BARAKA NA MAFANIKIO MUNGU AWABARIKI![]()
Jamani eeh...Nimepotelewa na shemeji yangu kipenzi. Husna Muba hajaonekana humu tangu juzi jioni. Shedede naye ndo hivyo haonekani. Wako wapi hawa couple? Waliitetemesha JF juzi juzi hapa leo hii hata mwezi haujaisha wanafifia kwa haraka. Shemeji Husna ukiona meseji hii jitokeze hadharani...

Asubuhi walikuwepo humuJamani eeh...Nimepotelewa na shemeji yangu kipenzi. Husna Muba hajaonekana humu tangu juzi jioni. Shedede naye ndo hivyo haonekani. Wako wapi hawa couple? Waliitetemesha JF juzi juzi hapa leo hii hata mwezi haujaisha wanafifia kwa haraka. Shemeji Husna ukiona meseji hii jitokeze hadharani...
AmenAmeni![]()
![]()
barikiwa pia mama mchuchu