Makapuku Forum

Mpaka na mi niweke leaving certificate ndio nitaonekana mtu mzima humu? Huyo Obe nilimwambia kila zama na watu wake. Kama alikuja na ngonjera za "eyo wasapu" obviously lazima aonekana joti to my BlessedHope.


Nakuangalia tu unavyojitoa fahamu kwa BH, me sikuja na mambo yenu vijana. Nitarudi kukueleza nini niliingia nacho
 
Asante kwa dondoo
 
Mbaya sana hata kuisikia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…