Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pombe siyo supu ati! Naona mama wa watu kazimika. Ni laivu kutoka Koromije hii...
23844b49f44b8626ef9fd4d5ecfda70a.jpg
kwa mkao huo anapuaje na hayo manyonyo
 
Sitaki wanawake wa mtandaoni mkuu. Kuna wakati we mwenyewe mpaka huwa nakuhurumia. Kupoteza muda tena kuhangaika na watongozaji sitaweza. Na watongozaji wengine wanakuja kwa shari kama yule jamaa wa leo aliyekuwa anamtaka Sakayo (Bobdon aka Ipogolo). Headache yote hiyo ya nini? Isitoshe Aganza mwenyewe hayuko siriazi sana na Makapuku.

In real life nilishawahi kukutana na binti hapa mwaka juzi tukapelekana mpaka kwa wazazi but things didn't work out. She is an exceptional lady na ameniachia athari nyingi chanya katika maisha yangu. Kwa sasa hapa ni kucheka tu na kutaniana basi...

Na Shedede hata akae huko aliko kwa makumi ya miaka atatukuta mi na shemeji tupo salama tu. Husna upo?
Nipo shemeji

Nakuaminiaa
 
Weee cheka tu, nitaibuka na kitu cha hatari hadi BH akubali kuwa mke wa tatu, yaani aje ananililia, usicheze na mpango ninaoukamilisha soon.

Ila BH akinikubali tu, kwanza kabisa naokoka, halafu ninakuwa naye peke yake
mama mchuchu jaman mama angu ebu ukuje mara moja umsikie binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom