Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wee sitakiii apajuee kwanguna cheusi mangala pia au wenyewe tu
Wee sitakiii apajuee kwanguna cheusi mangala pia au wenyewe tu
basi baba sitaenda tena nisamehe Baba DKwa hiyo mm mjinga ambaye huwa siendii
Afadhali ulivyompa vipande vyakeUshemeji wetu uache. We nenda ukahangaike na Shunie huko. Nasikia siku hizi amegeuka na kuwa dadako. Maajabu ya karne!
Connect na mama mafloweraliniambia niniii
mke mwee![]()
![]()
mpeleke na yy huwezi anaweza bahatika
![]()
![]()
mkipikiwa pilau mwambie baba d anibebee binamu halaf nyama ziwe nyingi binamu

binamu ninii hiyo mbona haifungukiii
hapana nikishiba wala sitawauliza binamu...halafu ukishiba uanze kutuchukua maelezo, na maswali yasiyo na mwisho!?? Bora ushinde na njaa tu
Hujapikaa ?mkipikiwa pilau mwambie baba d anibebee binamu halaf nyama ziwe nyingi binamu
apajue tu kwan kuna tatizo Baba DWee sitakiii apajuee kwangu
Ni aibu kwa mwanaume kumtongoza mke wa mtu mpaka anakushinda unabwaga manyanga na kuanza kumuita dada; na mumewe eti ndiyo anageuka na kuwa swahiba wako mkuu. Mtongozaji, mtongozwaji na mtongozewa wote majiganyanza katika hii ishu - something is not right.

Njaa tupu hkuSafii, utatunyima nin huko?
Kibamba malapawapi hukoo
he he situmii itel mieOh, ni picha. Pole kama haifunguki nadhani ni ni Itel unayotumia
kwa hela ipiiiii ni ile mia 9 auHujapikaa ?
yaan baba d usikute upo hukoKibamba malapa
Ongezeaaa balimi...halafu ukishiba uanze kutuchukua maelezo, na maswali yasiyo na mwisho!?? Bora ushinde na njaa tu
hahhahahOngezeaaa balimi
Uendee bhanaabasi baba sitaenda tena nisamehe Baba D