Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Usilolijua ni usiku wa giza. Wahenga hawakukosea...![]()
![]()
![]()
![]()
Na yeye alikuwa kwenye list ...akaambulia likes tu
Usilolijua ni usiku wa giza. Wahenga hawakukosea...![]()
![]()
![]()
![]()
Na yeye alikuwa kwenye list ...akaambulia likes tu
Unaongea na shimba au ??Ha ha ha ha ha ha ha.... Ukiliweza hilo tutakutilia mashaka uanaume wako.
Huna lolotee mpaka ukakimbilia rwanda ....Usilolijua ni usiku wa giza. Wahenga hawakukosea...
Spidi uliyokuja nayo Falcon 9 Rocket with full payload kwenda kwenye International Space Station cha mtoto. Vinginevyo yote uliyosema ni kweli. "Una busara sana!"

Sitaki wanawake wa mtandaoni mkuu. Kuna wakati we mwenyewe mpaka huwa nakuhurumia. Kupoteza muda tena kuhangaika na watongozaji sitaweza. Na watongozaji wengine wanakuja kwa shari kama yule jamaa wa leo aliyekuwa anamtaka Sakayo (Bobdon aka Ipogolo). Headache yote hiyo ya nini? Isitoshe Aganza mwenyewe hayuko siriazi sana na Makapuku.Shedede unatamani hasirudi ...mkuu mbona ata aganza anafaa
Mimi huyu huyu. The real ngosha from Koromije. Cha ajabu nini?![]()
![]()
wewe huyuu??
Uanaume wangu tena!? We are Homo Sapiens for a reason. Wakati mwingine ni lazima kuishinda mihemko ya kimwili. Moral and psychological discipline!Ha ha ha ha ha ha ha.... Ukiliweza hilo tutakutilia mashaka uanaume wako.
Again, usilolijua ni kama usiku wa giza...Huna lolotee mpaka ukakimbilia rwanda ....
Mbona umenichanganya na mimi Rafiki kipenz?Huyu shunie anampasua kichwa mpaka leo usione tu anaongeaa
Ila hampatiii kitu shabashiiiiii
Sina cha kuongezeaaSitaki wanawake wa mtandaoni mkuu. Kuna wakati we mwenyewe mpaka huwa nakuhurumia. Kupoteza muda tena kuhangaika na watongozaji sitaweza. Na watongozaji wengine wanakuja kwa shari kama yule jamaa wa leo aliyekuwa anamtaka Sakayo (Bobdon aka Ipogolo). Headache yote hiyo ya nini? Isitoshe Aganza mwenyewe hayuko siriazi sana na Makapuku.
In real life nilishawahi kukutana na binti hapa mwaka juzi tukapelekana mpaka kwa wazazi but things didn't work out. She is an exceptional lady na ameniachia athari nyingi chanya katika maisha yangu. Kwa sasa hapa ni kucheka tu na kutaniana basi...
Na Shedede hata akae huko aliko kwa makumi ya miaka atatukuta mi na shemeji tupo salama tu. Husna upo?
No cha ajabuMimi huyu huyu. The real ngosha from Koromije. Cha ajabu nini?
Yeye hampatiiiiMbona umenichanganya na mimi Rafiki kipenz?
Thanks mkuu ...utatukuta mkuuNakwenda shambani kulima jamani. Nitakuwa offline kwa masaa karibu sita hivi. Tukutane jioni jioni. Mzee wa Kung'oa, Lee and others. Enjoy your day guys...
Ha ha ha ha ha ha....Sitaki wanawake wa mtandaoni mkuu. Kuna wakati we mwenyewe mpaka huwa nakuhurumia. Kupoteza muda tena kuhangaika na watongozaji sitaweza. Na watongozaji wengine wanakuja kwa shari kama yule jamaa wa leo aliyekuwa anamtaka Sakayo (Bobdon aka Ipogolo). Headache yote hiyo ya nini? Isitoshe Aganza mwenyewe hayuko siriazi sana na Makapuku.
In real life nilishawahi kukutana na binti hapa mwaka juzi tukapelekana mpaka kwa wazazi but things didn't work out. She is an exceptional lady na ameniachia athari nyingi chanya katika maisha yangu. Kwa sasa hapa ni kucheka tu na kutaniana basi...
Na Shedede hata akae huko aliko kwa makumi ya miaka atatukuta mi na shemeji tupo salama tu. Husna upo?
Sexual issues are supposed to be automatic.... Only the environment can control them.Uanaume wangu tena!? We are Homo Sapiens for a reason. Wakati mwingine ni lazima kuishinda mihemko ya kimwili. Moral and psychological discipline!
Same to you na mimi baadaye ntaenda baharini... Lakini kwa sababu nyavu zetu ni za kutega mara moja moja naweza kupatikana... Siku njema bagheshi, Rafiki kipenz nkNakwenda shambani kulima jamani. Nitakuwa offline kwa masaa karibu sita hivi. Tukutane jioni jioni. Mzee wa Kung'oa, Lee and others. Enjoy your day guys...