T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,931
- 30,081
TehtehHata sikujua kama leo sikukuu my kaka,mishe zinaenda kama kawa
Nawatakia muunganiko mwema wanaotegemea kuungana teh
Haya poa my Dada V
TehtehHata sikujua kama leo sikukuu my kaka,mishe zinaenda kama kawa
Nawatakia muunganiko mwema wanaotegemea kuungana teh
hapana paroko anatumia fursa vizuri, zawadi yako itakuwa coca-cola bariïiiiiiiiiiiiiiiiidi yenye jina lao...........Paroko ni jipu
Wewe utaungana na nani?Tehteh
Haya poa my Dada V
hahaha...mnachanganyaje huo udongo chief?
Kwa hiyo, hayo ndio MAONI yangu juu ya jambo hilo.Kwahiyo????
Wow ningependa kuungana na wewe dada yangu kipenzi ValentinaWewe utaungana na nani?
Kwangu hawezi huyohapana paroko anatumia fursa vizuri, zawadi yako itakuwa coca-cola bariïiiiiiiiiiiiiiiiidi yenye jina lao...........
duuuuh me sio dada bana, btw naitwa "JUNIOR"Habari ya mimi poa sana tu kaka, dada xavia jr
Ooh mie tayari shemeji yako amekaba lolsWow ningependa kuungana na wewe dada yangu kipenzi Valentina
Kusherekee kwa pamoja mkuu
Au ushapata tayari wa kuungana nae?
Sijaziona mimi.Niaje humu, vipi sherehe za muungano zinaenda poa
HujazionaSijaziona mimi.
wapi hiyo mkuu? MISS BANTU au?
Pamoja sana kaka.Burudan tu mkuu hapa ndo maskani/kijiweni kwetu mkuu, twajimwaga, kautani kidogo nk.
Ukichukia pole but tuko peace sana, warembo wakali wametulia, hawana mapepe ni wewe tu mkuu,,,karibu saaanaaa twapendana wote balaa.
Cc
Youngblood
Jimen
Bitoz
Musolin 5
Manuu
Patience123
Lizzie
Emmyguy
Aggy
Nahrene
Mshana mchawi
Sumbai
Eden
Mandelaa
Ameizing
Pchoka
Na wakuu bibao
See you baadae
kwann bossKwangu hawezi huyo
Ndiyo.Hujaziona
Mke wangu hatetereki kabisakwann boss
Safi kaka, nambie habari ya kwako na sikukuu hii!Mambo vipi mkuu EMMYGUY
Ooh mie tayari shemeji yako amekaba lols
Itabidi uungane na jinema
Hivi kumbe my Dada V ulimaanisha muungano wa vikojoleo.... Just kidding 
Ndiyo nini!!![]()
![]()
![]()
Hivi kumbe my Dada V ulimaanisha muungano wa vikojoleo.... Just kidding
jinema kuja hapa![]()