Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Usikimbie tu tena jifiche asikuoneHahaha duh![]()
![]()
![]()
Usikimbie tu tena jifiche asikuoneHahaha duh![]()
![]()
![]()
Hahaha jambilo bhanaUsikimbie tu tena jifiche asikuone
Tamka jambilo x5 utaelewa tu mkuu usiogope
Hee! Masharti ya mganga haya.jambilo
jambilo
jambilo
jambilo
jambilo
EMMYGUYHee! Masharti ya mganga haya.
Poa, mapumziko mema jamaa yangu.Baadae wakuuu
Nambie Mkuu.EMMYGUY
Mie mzima kakaDada mzima?
Burudan tu mkuu hapa ndo maskani/kijiweni kwetu mkuu, twajimwaga, kautani kidogo nk.Hahaha jambilo bhana
hahaha...mnachanganyaje huo udongo chief?Sikukuu hii si ndiyo mkulu alisema tubaki nyumbani na familia zetu? Nilipitiwa tu leo ningetakiwa niwepo kwenye upande wa pili wa Jamhuri kutafuta binti wa Muungano tuchanganye udongo!
Salama kabisa kaka T... Kumekucha tenaHabari za asubuhi Dada yangu kipenzi Valentina
Asante dadanguMie mzima kaka
Kwema habari ya ww.?Hakuna kitu mkuu
Vipi kwema lakini xavia jr
duuuh kuna namna hapo.Katumwa na mshana jr atamke x5
Vizuri sana kama ni salama pande hizo my Dada VSalama kabisa kaka T... Kumekucha tena
Habari ya mimi poa sana tu kaka, dada xavia jrKwema habari ya ww.?
niaje boss.?tupo ndugu
Mambo vipi mkuu EMMYGUYNambie Mkuu.
Hata sikujua kama leo sikukuu my kaka,mishe zinaenda kama kawaVizuri sana kama ni salama pande hizo my Dada V
Naona kumekucha tena Valentina
Vipi kharakati za sikukuu pande hizo mpendwa
Mbona mimi hujani cc mkuu jambilo?Burudan tu mkuu hapa ndo maskani/kijiweni kwetu mkuu, twajimwaga, kautani kidogo nk.
Ukichukia pole but tuko peace sana, warembo wakali wametulia, hawana mapepe ni wewe tu mkuu,,,karibu saaanaaa twapendana wote balaa.
Cc
Youngblood
Jimen
Bitoz
Musolin 5
Manuu
Patience123
Lizzie
Emmyguy
Aggy
Nahrene
Mshana mchawi
Sumbai
Eden
Mandelaa
Ameizing
Pchoka
Na wakuu bibao
See you baadae