Makapuku Forum

Makapuku Forum

SWALI SWALI :
Mbona leo kwenye profile zetu hatuoni JOINING DATE YA JF.....Au ndo janja ya kuficha aibu ya wakongwe ?
Angalieni profile zenu km ni kweli
Hatumuadd mtu
Au tukakinukishe kule MEMBERS ONLY
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
................
.................
Aisee ni kweli.
 
Aisee ni kweli.
4b35b2f315320f42bd6ac85e330b8304.jpg

Cjui magumashi gani haya
..................
 
hapana paroko anatumia fursa vizuri, zawadi yako itakuwa coca-cola bariïiiiiiiiiiiiiiiiidi yenye jina lao...........
Umeona eee, th name anataka mikosi tu, mkiwa wazima mwadharau madaktari mkiugua mwafunua makalio wenyewe mdungwe sindano, kadhalika mkivavamiwa na majini mnatusaka usiku wa manane tuwaombee
 
Back
Top Bottom