Narudia tenaHaiwezekani
Tatizo ni Kwamba hatuna trust na hawa jamaa, lakini wanafanya kazi kuliko tunavyofikiria sisi
Sasa polisi ulienda kufanya niniSina shida ya kuwakamata ila watajileta wenyewe na lazima walipe zaid..
"Sisi hatujaribiwi"
HatariSwali dogo tu
Ukiwa unatumia kuliko kutafuta unategemea nini?
Njoo nisaidie kumfinyaUnamfinya tu ili umshirikishe
Tatizo ni simu tu iliyochukuliwa tu ili isiniletee shida bureSasa polisi ulienda kufanya nini
Hukuchukua video kidogo....Narudia tena
Polisi wa bara sio kama wa huku visiwani!!!
Leo nimeshuhudia trafik akikolomewa na dereva na kutukanwa juu wakat dereva aliambiwa tu arudishe gari nyuma kwenye foleni..
Na hakuchukuliwa hatua yoyote
Utajisikiaje pale unapopewa ushauri ukaukataa kisha ukakumbana na ulichokipinga?
Mwifwa!Nani yupo macho?
Shalom mkuu Nyagei za uzima,Peace be with youShalom mama mchungaji
HeeeTatizo ni simu tu iliyochukuliwa tu ili isiniletee shida bure
Ukiunganisha nguvu na SHIMBA YA BUYENZE mtafanikiwa kumrudisha Shedebe na hadithi yake.
HakikaKaribu Koromije mkuu. Huku TV ni laki tatu tu unapata. Unachosema hata hivyo ni kweli. Ndiyo maana Marekani huwa wanamlaumu sana Mchina kuwa huwa anafanya finance manipulation - mbinu za makusudi ili kuifanya pesa yake ibakie chini ikilinganishwa na dola hata kama uchumi wake unakua kwa kasi. Vita vya wakubwa!
UbarikiweWapendwa ucku mwema. Kausingizi kwa mbaalii huku nikiliwazwa na Zomboko radio one. Mungu atulinde. Wale wanaofyatua nawatakia ufyatuaji mwema.
Sasa ww ulizani nasema wa wap hao?Hukuchukua video kidogo....
Halafu kumbe ni police wa Zanzibar hapo kidoooogo naweza kukuelewa
"Hoja ni hoja pale inapoeleweka" Nimeipenda asante ObeAsante sana mdau Shimba, kuandika ni 'hobby' na ninafurahi na kujiskia vizuri kuwa sehemu ya familia hii, Makapuku ambako kumejaa member wanaojitambua na kujali masiha yao na ya wengine bila kukereka wala kukereketwa.
Nikiingia humu huwa najifunza mengi sana tena ya msingi na yananifanya niwe na wakati mzuri nikaa kusaka mkate wangu na wa wapwa zako.
Hapo nilipopabold, ndo wanapokosea, ni kweli wapo watoto wa shule humu, JF ni kama kokoro... na unajua kokoro linaleta si samaki tu. Humu makapuku kuna watu wa fani zote na mada humu huwa zinaongelewa japo kiurahisi rahisi lakini ndo zinaeleweka vizuri sana.
Nikupe mfano mdogo tu, enzi hizo gazeti la Daily News lilikuwa linaandikwa kwa kiingereza kigumu hadi unajiuliza hawa waandishi ni maAnglo Saxon ama vipi? Yalipokuja mengine kama The Express, Guardian na mengine nikaona kumbe huna haja sana ya kuandika mabombastic ili uonekane unajenga hoja.
Hoja ni hoja pale inapoeleweka, na hili ndilo linalofanywa na Makapuku
UbarikiweUsiku mwema makapuku woteee
Nawaona mwanangu.naona watu wanavyovamia treni kwa mbele wameanza kwa BH wengine kwa Sakayo
Well saidInteresting!
Yaani hapo ndo sisi tumeshindwa kabisa, yaani tunafurahia kujaza mapesa mfukoni bil kuyazungusha. Yaani mtu kuanzia jtatu hadi jpili anakula kwake tu, hajui kama kuna mamantilie wametoa ajira.
Na trend inayoendelea sasa badala ya kuifanya private sector iajiri watu wengi kwa kuipa tender za serikali serikali inachofanya ni kutoa pesa kwenye mfuko wa suruali na kuziweka kwenye mfuko wa shati utasema kadi nyekundu. Huwezi kujenga uchumi kwa kukalia mapesa huku bank zikishindwa kukopesha.
Kwa serikali kutoonesha kutaka kushirikiana na sekta binafsi (kana kwamba yenyewe ndo muajiri mkuu) linaundwa kundi kubwa la watu wasio na ajira na hii ni hatari kwa afya.
wenzetu wanazipa sekta binafsi ushirikiano ili zitoe ajira na uchumi usimame sawasawa sisi tunakazana (kazana) kujadili jaza ujazwe, lipa ukatiwe yaani akili za kijinga kabisa.
Kwa kusikiliza mijadala ya kuanzia kwa rais hadi bunge, utagundua kuwa, mosi wabunge wetu wengi wako hai kuanzia kiunoni kushuka chini ( ndo mana utasikia, kikalishe, jazwa ujaze) na pale feri kwetu tunapofurahia harufu ya shombo pameoza kuanzia shingoni kwenda juu. Shingoni kushuka chini pako makini sana kama makanikia.
Asante sana mdau, yaani ulichoandika hapo juu wallah tena nasikitika kwanini bia zinazidi kuongezewa kodi ilhali kuna watu serikalini hawalipi kodi kwenye mishahara yao mikubwamikubwa
HahahaSasa ww ulizani nasema wa wap hao?
Yaañ shida tupu na mahospitali japo huduma zote ni sh 200 lkn hata light microscope au hand lense hawana
MtihaniHaaaa!
Sasa mkuu kama madawati kwetu ni kitendawili ...kwa miaka 50 ya uhuru..
Daraja la Dsm to Zenj litajengwa?