Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Ndio ndio boss ladyOooh
Hapo Sawa
Hakuna jeshi la kijinga kama hili dada..Anadharau jeshi sio
Ulisema uliripoti ina maana haukupewa RB?Sasa mtu wanakwambia kafanye upelelezi ww hafu ndio upeleke majina ya ulio wapata, nikikosa je? Siku ya nne kesho nataka nikafungulie RB simu yangu ili hata wakiifanyia majanga nisishikwe mimi.
Hayakwepeki ujueMambo yasikuzidi sana
Naona ameichoka amani huyoooShauri yake
We cheka tuu
Ndio kamanda yaan full mizengwe..Ulisema uliripoti ina maana haukupewa RB?
Wala hujavamiwa madam, huyo hana ubavu wa kupenya ngome uliyopo, ni sawa na muandamanaji kuonesha bango Lake mbele ya media ili lionekane na lifike kwa muhusika bila ya kumgusa.Kabisaa
Wakati navamiwa ulikuwa wapi
Huko ndio kabisaaMmmmh
Mie naondoka, naenda siasani
Hakuna jeshi la kijinga kama hili dada..
Polisi unaweza mshika makalio na asikufanye lolote..

Ndio maana tukapewa wasaidiziHayakwepeki ujue
Unajua hakuna kitu kibaya kama kudharau mamlaka, kila kitu kina taratibu zake kwenye taasisi yoyote ile. Na wenye matatizo ni wengi kuliko unavyojua wewe, hao hao unaowakejeli Unataka wakusaidie wakati unawadharauHakuna jeshi la kijinga kama hili dada..
Polisi unaweza mshika makalio na asikufanye lolote..
Shangaa na wewe..Ulisema uliripoti ina maana haukupewa RB?
Hahaaaa daah yaan unasema tu sababu hujawaona kwakweliUnajua hakuna kitu kibaya kama kudharau mamlaka, kila kitu kina taratibu zake kwenye taasisi yoyote ile. Na wenye matatizo ni wengi kuliko unavyojua wewe, hao hao unaowakejeli Unataka wakusaidie wakati unawadharau
Heri yako basiNdio maana tukapewa wasaidizi
ZABURI 121
Duh mbona naona ni ubabaishaji huo ulipotoa taarifa ya upotevu wa Mali zako ulipaswa upewe RB hiyo ni haki yako kisheria. Baadae sisitiza upewe hiyo RB maana unaweza kumpata mwizi wako lakini usiwe na haki ya kumkamataNdio kamanda yaan full mizengwe..
Endelea kujifarijiWala hujavamiwa madam, huyo hana ubavu wa kupenya ngome uliyopo, ni sawa na muandamanaji kuonesha bango Lake mbele ya media ili lionekane na lifike kwa muhusika bila ya kumgusa.
Ni uoga huo angekuwa kidume hasa angevamia private yako ila hawezi
Kuna nini kwaniHuko ndio kabisaa