Makapuku Forum

Makapuku Forum

Duh mbona naona ni ubabaishaji huo ulipotoa taarifa ya upotevu wa Mali zako ulipaswa upewe RB hiyo ni haki yako kisheria. Baadae sisitiza upewe hiyo RB maana unaweza kumpata mwizi wako lakini usiwe na haki ya kumkamata
Mm nikisema mnasema nadharau jeshi haya tu..
Hivi kesho ndio nataka niifatilie na niaiku ya nne sasa tukio la toka jumatatu
 
Hahaaaa daah yaan unasema tu sababu hujawaona kwakweli
Wee fikiria tuliwachukua waje waone tukio lilivyotendeka lkn walikataa na nimwendo wa Dk 5 tu..
Wakati unawachukua wananchi wengine wahudumiwe na naniii... Angalia mazingira yanayomfanya akatae, wewe huna RB then Unataka polisi akakague eneo la tukio huku kuna lundo la wengine wanasubiri huduma. Ndo maana nikasema kila kitu kina taratibu zake......
 
ZABURI 121

1.Nitayainua macho yangu ,nitazame milima,msaada wangu utatoka wapi?

2 .Msaada wangu u katika BWANA ,aliyeziumba Mbingu na Nchi

3.Asiuache mguu wako usigezwe;Asisinzie akulindaye;

4.Naam hatasinzia wala hatalala usingizi,yeye aliye mlinzi wa Israel .

5.BWANA ndiye mlinzi wako;BWANA ndiye uvuli mkono wako wa kuume

6.Jua halitakupiga mchana,wala mwezi wakati wa usiku

7.BWANA atakulinda na mabaya yote,Atakulinda nafsi yako.

8.Atakulinda utokapo na uingiapo ,Tangu sasa na hata milele.

Shalom
Shalom mama mtumishi
 
ZABURI 121

1.Nitayainua macho yangu ,nitazame milima,msaada wangu utatoka wapi?

2 .Msaada wangu u katika BWANA ,aliyeziumba Mbingu na Nchi

3.Asiuache mguu wako usigezwe;Asisinzie akulindaye;

4.Naam hatasinzia wala hatalala usingizi,yeye aliye mlinzi wa Israel .

5.BWANA ndiye mlinzi wako;BWANA ndiye uvuli mkono wako wa kuume

6.Jua halitakupiga mchana,wala mwezi wakati wa usiku

7.BWANA atakulinda na mabaya yote,Atakulinda nafsi yako.

8.Atakulinda utokapo na uingiapo ,Tangu sasa na hata milele.

Shalom
Amen

Ahsante sana mama mchungaji kwa neno la uzima

Nililipeza sana neno lako
 
Duh mbona naona ni ubabaishaji huo ulipotoa taarifa ya upotevu wa Mali zako ulipaswa upewe RB hiyo ni haki yako kisheria. Baadae sisitiza upewe hiyo RB maana unaweza kumpata mwizi wako lakini usiwe na haki ya kumkamata
Ndo la muhimu hilo sasa, ukishafungua kesi ndo taratibu nyingine zinafuata
 
Wakati unawachukua wananchi wengine wahudumiwe na naniii... Angalia mazingira yanayomfanya akatae, wewe huna RB then Unataka polisi akakague eneo la tukio huku kuna lundo la wengine wanasubiri huduma. Ndo maana nikasema kila kitu kina taratibu zake......
Hahaaa ngoja nikae kimya aisee
Yaan ungekua ww ukaona.
Wanakwambia hii jioni twawahi kufutari atiiii maana tukio niligundua jioni ila lilitokea mchana
 
Hii ni kwa mpendwa wangu wa dhati kabisa pasi na kupepesa macho mnamjua kama hamumtambui basi nami sitambuliki.
Jorowe amesema kwake kuandika ni hobby na huwa anafarijika anapoandika hasa kutuandikia sisi Makapuku wengine, naheshimu mchango wako Obe.
Leo katika kusikiliza nyimbo zilizopo kwenye flash niliyoletewa na shemeji yenu kuna wimbo umeimbwa na George Benson unaitwa Nothings gonna change my love for you, Jorowe utakuja kuongezea nyama hapa ili tujue original version ya wimbo huu.
Baada ya kusikiliza nikapata wazo la kusikiliza ikiwa katika guitar version na hii imekuwa nzuri zaidi maana unajikuta kama upo studio unaingiza sauti.



Leo nimejitahidi kuandika sababu kuna vitu vimenisukuma kufanya
Cc Linamo
Cc Obe (Jorowe)

Safi sana wimbo mzuri,nasmini Obe anaupitia,asante mkuu Nyagei
 
Hahaaa ngoja nikae kimya aisee
Yaan ungekua ww ukaona.
Wanakwambia hii jioni twawahi kufutari atiiii maana tukio niligundua jioni ila lilitokea mchana
Haiwezekani
Tatizo ni Kwamba hatuna trust na hawa jamaa, lakini wanafanya kazi kuliko tunavyofikiria sisi
 
Ni kweli. Siku moja nakwenda kumchukua mtu airport nikakosea exit zote mbili kutokana na labyrinth ya mi-flyover yao hii. Nikajikuta nimeingia kwenye mzinga wa daraja reefu tena juu ya bahari halafu traffic ni bumper to bumper. Kulivuka tu karibia lisaa lizima ndiyo sasa nikaanze kuangalia utaratibu wa kurudi. Mgeni nikamwambia achukue taxi tutakutana nyumbani jioni. Mashikolomageni baba!
I see!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom