Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu bahati ya mwezio haitakiwi kulaliwa mlango wazi. We nadhani atakuwa alianza kukufanyia "screen shot" tena pengine kuanzia kwenye profile pic yako. Ina ukakasi mkubwa sana.


Lo! Picha yangu ina ukakasi? Utamu wa stoneytangawizi ni kupiga chafya. Sasa pic yangu haina ukakasi inategemea tu, btw, ukakasi unapatikana kwenye nini, ni picha yenyewe au maneno, au rangi au hiyo dawa ya sikio?
 
1/Danyang--Kunshan Grand Bridge
f1b31ea2c03cd4f92dfb07661f4b99fb.jpg
d92cc0f79eb688a926bbba51d43e83d6.jpg

Limejengwa/limekatiza katika njia treni High speed Railway ya Shangai hadi Beijing huko nchini China
Ni eneo korofi kijiografia
Ndiyo daraja refu zaidi duniani
Lina urefu wa Km 164.8
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
Asante Bitoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom