Utoto huu sasa
hahahhaha asante zimetuchosha
I seeweee denoo49 nani ana uzoefu wa kuchezea buti za mama mchungaji? Mimi? Umekosea mimi sina uzoefu wa kuchezea buti zake (kwanza aache kuvaa mabuti)
Mimi nina PhD ya kumfukuzia na kunikaushia, sasa wewe naona unautafuta uprofesa

Atazipata tuKuna thread kule chit chat inasema kila unachoandika huku unapewa likes.
Nadhani kaja kuzitafuta.
...kwani huwa anakupa wewe asante? Mimi hazijanichosha tena kama vipi awe anazitoa in advance. Msinitafutie pumu nyie

you are more than that

mzee wa kutekwaHabari za porini lee!!
kwema tetraKwemaa??
nakupenda jaman baba dNzur mkuu nipo na mama kipenzi changu roho yangu umjuaye shuny
me zaidi baba angu mpaka nakufwaNakupendaje
Tatizo watoto wa siku hizi Hamna adabu.... Mna wala chabo bibi zenu na babu... Angalieni msije mkalaanika.!Bakora muhimu. Mzee ukuaji wa akili (maarifa) huchangiwa pia na utundu udadisi maswali na utukutu kidogo.
Lakini wazee wanapigana mabusu humu tunawaona.
...kwani huwa anakupa wewe asante? Mimi hazijanichosha tena kama vipi awe anazitoa in advance. Msinitafutie pumu nyie
uwiiiiiiKabisa mkuuUtoto huu sasa
Sio kama la Kakaako mzeewakungoajina lako zuri
Hiyo Avatar yako hiyo![]()
![]()
![]()
![]()
uwiiiiii
Yap,ila ujue kuna watu wanaumiaaaa wanatamani wao ndio wangekuwa mukongo
