Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Siyo kila amphibia ni samakiAsante bitoz kwa top ten
Sisi binadamu tungekuwa kama hao samaki ingekuwa raha
......
Siyo kila amphibia ni samakiAsante bitoz kwa top ten
Sisi binadamu tungekuwa kama hao samaki ingekuwa raha
Nipooo
Niite Sakayo, mke halali wa T, dadake Shunie na shemeji wa watu wote humu ndani. Niko porini mwaka wa tano sasa, najihusisha na kunyonga.
Take care!!!
ujue we mwehu
kweli mke mwee hakuna namna unakubali tu lakini ukweli unaujua mwenyeweNingefanyaje sasa![]()
![]()
hahahh shambalai mokooooIla wewe unapanda shambalai
atamzoea tuAnamjua, ila hajamzoea kivilee
inshallah
Pamoja sana wadauAsante mkuu .....
Got uUsijidanganye
Wale wote ni mateja wa hii thread ila hupita kimyakimya(hawagongi like wala kukomenti)
Humu Ngedere Ungabure,Mchawi Jr hadi FaizerFix wote huingia humu
Km huamini MTUKANE mmoja wao kila siku uone km hajaja kukujibu
![]()
![]()
![]()
FaizerFix keshakuja mara nyingi tu kiungwana
Mchawi yeye keshakomenti zaidi ya X 100 ila siku hizi ana kinyongo
Ngedere keshaingia humu kutukana humu kwa kizungu akifikiri hatujui kitu zaidi ya X 3 ila tukampotezea
Sasa ndo itakuwa hao ngumbaru hawajui chochote kuhusu hii thread? Lengo lao si ni kiki na kutucjora tu
Hakuna mwanJF ambaye hajawahi kuingia humu hata Max Mello
Trust me or NOT
.........
mke mwee umesikiaOK
Msalimie sanaaa, mwambie moyo wangu ni mweupe kwake
sie watu wazima ujue shemela
Na wewe kidogo nikuweke kwenye list ya kunyongwa baada ya Ramadhani, ila nikupongeze kwa kuwa muaminifu. Nakumbuka hii siku T&T na S&S
You know what I mean...... Niliona mchezo wooote
nakugawaaaa
basi kama laptop shida atuchangishe jamaan legeJamaa ni mtaalamu wa kusepa na kijiji, yani kila fix anaijua yeye na kama hiyo laptop yake ingekuwa inaongea basi ingenena mengi jinsi inavyosingiziwa.
Umerogwa😡, niweke silaha chini ili niitwe muoga!! Wewe wa wapi wewe? nimerudisha majeshi nyuma narudi kujipanga. Maana inaonekana BH kuna kina nyie mnamtakia mema hamtaki awe na mimi sasa furahini sababu nimerudi kujipanga. Ni suala la muda tu
binamu hurumia mbavu zangu naonekana chizi
wozaaaaaaSure, nitampata tu tena nitampata mapema siku mnaonivurugia mtaamua kukaa pemebeni kuniacha nifanye yangu
bado sina mume mie...nawatathmini kwanza!Ungeondka bila kupenda tungekufanyia fitna ww,kwa hyo umeenda kwa mzee wa kungoa au kwa binamu obe![]()
![]()
Pamoko san mkuuMzeiya nipo mimi huku ndio founder wa makapuku
Karibu sana
Muziki na Mapovu Makanikia bila kuwa Makini
Utatoa hutoi, ndivyo kibwagizo cha singeli moja inasikika kwa mbali, najipitia zangu tu kurudi home maana tayari nishaingiza siku kwa deni. Yeah, kukopa ndo ubinadamu huo, tunakopa na kukopesha, tunakopeshana kuanzia mali hadi mwili. Hongera kwa mliokopa leo. Tunakopesheka.
Jumatano inaenda kuisha, na bila kujali muda huu tunarudi kuburudika na muziki huku kama kawaida maneno sikiza mwenyewe , kipengele kinaangalia utamu wa gitaa.
Nilitamani kuweka kibao cha kukataliwa kubaya kukataliwa matesooooo matesoooo lakini nikagundua kuwa nitakuwa ninajiumiza bure bila malipo. Ninasonga na usiku huu tumewaona wote wenye shobo walioamua kubugia foma gold (bila makanikia) na spaleta moto ili kushambulia jukwaa hili, tuwakaribishe. Tuko pamoja
Bendi ya Msondo (kwa ombi maalum la Shunie na anko lee empire ) inaweza kuwa bendi maarufu kabisa kwa hapa Tanzania tangu tumepata Uhuru, imebadili majina mara kadhaa kutokana na umiliki na mambo kadhaa lakini mtindo wake umebaki kuwa alama yake, msondo ngoma.
Inaundwa na wanamuziki maarufu na badhi washatangulia mbele ya haki lakini nani anaweza hata kuwakumbuka wapiga gitaa walionogesha sauti za kina Guruma, Bitchuka, Moshi, Jumbe na wengine, sana sana mtamkumbuka Romario na kidevu chake akipuliza midomo ya bata.
Kwenye clip hii hebu angalia na usikize gitaa la mtaalamu Said Mabera, lakini pia wapigaji wengine maarufu wa Msondo ni pamoja na Uvuruge bila kumsahau Pangamawe Ridhiwani
Burudika mdau na nianwapongeza wote mliomeza foma gold bila makanikia kuisema makapuku forum bila kutafuata ukweli wake. Hongereni
IVI MIAKA IJAYO NA SISI TUTAITWA WAHENGA.
utaskia wahenga walisema JAZA UJAZWE
♂
