Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shukrani, nimeona na kuipitia mwanzo hadi page ya sasa hivi.
Nimejifunza kimoja tu, wakati mwanzisha uzi anataka kujua kuhusu hapa, wachangiaji wengi (ukiondoa member wa huku) hawajui wanachangia nini na wanaishia kulalamika kuwa sisi tunalalamika tu.
Mlalamikaji anayelalamikiwa.

Wanaamini 'likes' ni za bwerere tu huku na ukija mgeni unapewa mke (sic) mimi niko hapa hata mchumba tu sijapata na ni leo tu nimekataliwa kwa tangazo kama la msikitini.

Ninajisikia vizuri kuwa hapa.

SN (serious note na sio sexual and nudity) huku wapo waungwana , wasomi (msomi ni nani? Siku nyingine tena) ambako tunaamini hakuna hoja ya kijinga, tunajifunza mengi na si kujua mengi.

Hatuhitaji kujitetea kwa awaye yeyote, hatuna sababu ya kufanya hivyo. JF ni kubwa sana na Makapuku forum ni sehemu ya JF.
Humu hadi Paw pamemkosha na kucomment jana LIVE babake

Pia moderator wa jukwaa hili anaingiaga anaitwa Bridger na keshawahi kucomment na hata kunipa ushauri PM

Hao wapuuzi wachache wasiwaumize kichwa
Hulka ya binadamu ni unafiki na wivu tu...
km "hawaingiiagi humu" wanayajuaje ya huku
Unafiki
.......
 
9/Homo Sapiens
2904de6ebc71d4703a7c4d8b36ce7741.jpg

Kizazi cha karne hii cha chipsi mayai cha matozi na masistaduu sijui kama kinaweza kukaa na njaa japo siku 3 tu
80a05031902f01e94b93473b2be9fddb.jpg

Bhagat Singh mwaka 1929 aliweka mgomo wa kutokula hunger strike ambao pia ulichochea kupatikana kwa ihuru wa India 1947
Ilikuwa ni baada ya kuswekwa gerezani kwa kosa la Mauaji na wakoloni wa kiingereza
Alikaa siku 116 bila kula hadi pale serikali iliposarenda na kufikia naye mwafaka
Alipoteza uzito wa Kg 60
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom