Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Asante mam ha ha ha nitamsalimia hata usijalinakutakia mfungo mwema mmalize salama dear msalimie mshkaji wangu
Asante mam ha ha ha nitamsalimia hata usijalinakutakia mfungo mwema mmalize salama dear msalimie mshkaji wangu
Wewe shemela
NipoooHuwa namuona kwa mbali tu mke mweee
Ila wewe unapanda shambalaishemela umeanza uongo ujue kwa sakayo tunapanda raha leo au simba mtoto
Aisee3/Mamba![]()
![]()
Ukimuona mamba anakulakula ujue huyo ni fisadi tu
Wana uwezo wa kukaa miaka 3 bila kula
.......
Mie niko siasani bhanashemela umeanza uongo ujue kwa sakayo tunapanda raha leo au simba mtoto
jamaan nakupenda pia mke mwee mke wa shemela wangu mimi apa Mungu awatunze

Asante mkuu .....1/Olm![]()
![]()
Hawa ni amphibia waishio kwenye maji ya chinichini
Hupatikana huko Italy, Croatia na Slovenia
Upendelea kujificha kwenye mapango
Wana jeuri ya kukaa bila kula kwa muda wa miaka 10
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Anamjua, ila hajamzoea kivileembona mumeo kasema unamjua ngoja akija nitakutambulisha
Namuona anatukumbusha arosto buanadenoo hahha ebu acha kumzungumzia lege usitukumbushe machungu ujue jana nilivyoona notification zake nikajua anaweka mke mwee unamuona denoo
Afande shedede niajeWakuu habar za jioni