Makapuku Forum

Makapuku Forum

1 YOHANA 5

14. Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake,ya kuwa tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake,atusikia.

TUOMBE

Asante Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa,tunaomba toba kwa mabaya yote tuliyotenda kwa mawazo ,maneno,matendo na kwa kutotimiza wajibu wetu mbalimbali tusamehe twakusihi.

Tunajikabidhi mikononi mwako tulinde tuondoe katika hatari mbalimbali tukumbatie usiku kucha hadi tutakapoamka kesho mfalme wa Amani.

Ponya wagonjwa,fariji wafiwa na wajane ,yatima .
Tunakuomba tuimarishe tukuamini na kukupenda na kuleta mahitaji yetu mbele zako tukiamini kupokea.
Tunakemea nguvu zote za giza,pepo wachafu na tunaenda kinyume na hila zote za shetani,damu ya Yesu itawale.
Asante Baba kwa kutupa mahitaji yetu sawa na mapenzi yako,Roho Mtakatifu mfariji wetu kaa nasi tufundishe kuomba na kutii
Tunaomba na kushukuru Amen

USIKU MWEMA MBARIKIWE
 
1 YOHANA 5

14. Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake,ya kuwa tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake,atusikia.

TUOMBE

Asante Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa,tunaomba toba kwa mabaya yote tuliyotenda kwa mawazo ,maneno,matendo na kwa kutotimiza wajibu wetu mbalimbali tusamehe twakusihi.

Tunajikabidhi mikononi mwako tulinde tuondoe katika hatari mbalimbali tukumbatie usiku kucha hadi tutakapoamka kesho mfalme wa Amani.

Ponya wagonjwa,fariji wafiwa na wajane ,yatima .
Tunakuomba tuimarishe tukuamini na kukupenda na kuleta mahitaji yetu mbele zako tukiamini kupokea.
Tunakemea nguvu zote za giza,pepo wachafu na tunaenda kinyume na hila zote za shetani,damu ya Yesu itawale.
Asante Baba kwa kutupa mahitaji yetu sawa na mapenzi yako,Roho Mtakatifu mfariji wetu kaa nasi tufundishe kuomba na kutii
Tunaomba na kushukuru Amen

USIKU MWEMA MBARIKIWE
Amen
 
Aisee huku SUMBAWANGA leo kimenuka aisee

Elfu kumi yageuka ndege(mbayuwayu)

Ndani ya soko la hapa SUMBAWANGA mwanamama mmoja wakati akinunua samaki ile anataka kulipa atoe pesa kwenye khanga yake anakutana na ndege aina ya MBAYUWAYU

kilinuka aisee jamaa anayeuza samaki Kang'aka anataka pesa yake "nipeleke kwa aliyekupa hiyo pesa atakuwa ni MCHAWI tu" maneno aliyazungumza muuza samaki kwa ghazabu kubwa.

Aisee msubir part
Hahahahaha
 
Muziki na Mapovu Makanikia bila kuwa Makini

Utatoa hutoi, ndivyo kibwagizo cha singeli moja inasikika kwa mbali, najipitia zangu tu kurudi home maana tayari nishaingiza siku kwa deni. Yeah, kukopa ndo ubinadamu huo, tunakopa na kukopesha, tunakopeshana kuanzia mali hadi mwili. Hongera kwa mliokopa leo. Tunakopesheka.

Jumatano inaenda kuisha, na bila kujali muda huu tunarudi kuburudika na muziki huku kama kawaida maneno sikiza mwenyewe , kipengele kinaangalia utamu wa gitaa.

Nilitamani kuweka kibao cha kukataliwa kubaya kukataliwa matesooooo matesoooo lakini nikagundua kuwa nitakuwa ninajiumiza bure bila malipo. Ninasonga na usiku huu tumewaona wote wenye shobo walioamua kubugia foma gold (bila makanikia) na spaleta moto ili kushambulia jukwaa hili, tuwakaribishe. Tuko pamoja

Bendi ya Msondo (kwa ombi maalum la Shunie na anko lee empire ) inaweza kuwa bendi maarufu kabisa kwa hapa Tanzania tangu tumepata Uhuru, imebadili majina mara kadhaa kutokana na umiliki na mambo kadhaa lakini mtindo wake umebaki kuwa alama yake, msondo ngoma.

Inaundwa na wanamuziki maarufu na badhi washatangulia mbele ya haki lakini nani anaweza hata kuwakumbuka wapiga gitaa walionogesha sauti za kina Guruma, Bitchuka, Moshi, Jumbe na wengine, sana sana mtamkumbuka Romario na kidevu chake akipuliza midomo ya bata.

Kwenye clip hii hebu angalia na usikize gitaa la mtaalamu Said Mabera, lakini pia wapigaji wengine maarufu wa Msondo ni pamoja na Uvuruge bila kumsahau Pangamawe Ridhiwani

Burudika mdau na nianwapongeza wote mliomeza foma gold bila makanikia kuisema makapuku forum bila kutafuata ukweli wake. Hongereni


Asante Obe kwa nyuzi za maana ubarikiwe sana nimefurahia sana wimbo
 
Wakuu siku inasongaaa ....

Kufumaniaa raha sanaa...nyagei kashapata aki yakee...
032a53147bc32ebf98c1558615ca78f9.jpg
HAHaaaaa lee wewe mkorofi aisee
Jamaa kafumwa kwa Shunie au
Nyagei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom