shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Huwa nakuja Kuja hukoNiko siasani shemeji
Huwa nakuja Kuja hukoNiko siasani shemeji
OKDada kuna mtu huwa anakusikia tu Sakayo wa T ila hakufahamu ni mke wa shululu anaitwa Tumosa
Nipooo
Niite Sakayo, mke halali wa T, dadake Shunie na shemeji wa watu wote humu ndani. Niko porini mwaka wa tano sasa, najihusisha na kunyonga.
Take care!!!
nashukuru kukufahamu mie T wa Shululu hapa,pa kunyongwa hapo sasa

mmh lini ulimpigisha sound mama mchuchu anaempigisha sound mpaka sasa binamu obe nae ameweka siraha chini ameamua amuachie mukongo wake

husna mbona humu hamna ushirikiano?..hata shunie mwenyewe humu ameuchuna balaa..
Na Amani tele mama watoto, Asante kwa chakulaYameisha baba watoto kuwa na amani
Karibu sanaHuwa nakuja Kuja huko
Mwambie aiseeMume wngu yupo makin kweli
Hampaswi kuwapa "sirI" tunayoyaongea huku
Nakupenda sana mama watoto wanguMume wngu yupo makin kweli
inshallah1/Olm![]()
![]()
Hawa ni amphibia waishio kwenye maji ya chinichini
Hupatikana huko Italy, Croatia na Slovenia
Upendelea kujificha kwenye mapango
Wana jeuri ya kukaa bila kula kwa muda wa miaka 10
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Nakuonaa nakuonaaa
Niko porini hamna net, namalizia kunyonga mtu hapa nitakupigia

Na wewe kidogo nikuweke kwenye list ya kunyongwa baada ya Ramadhani, ila nikupongeze kwa kuwa muaminifu. Nakumbuka hii siku T&T na S&S![]()
![]()
nashukuru kukufahamu mie T wa Shululu hapa,pa kunyongwa hapo sasa
![]()
![]()
Asante bitoz kwa top ten1/Olm![]()
![]()
Hawa ni amphibia waishio kwenye maji ya chinichini
Hupatikana huko Italy, Croatia na Slovenia
Upendelea kujificha kwenye mapango
Wana jeuri ya kukaa bila kula kwa muda wa miaka 10
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Nzuri kamanda... Lete khabari mpyaWakuu habar za jioni
Mbona unarukaa hivyoAkuu!
NenoHampaswi kuwapa "sirI" tunayoyaongea huku
Yaani mmewaelezea kila kitu
Siku wakiiga mtaanza kulialia
Nashangaa hakukuwa na ulazima wowote kwenda kule kufafanua
Ni km mnamuelekeza jirani jinsi ya kutengeneza juisi tamu ambayo wewe unaiuza
![]()
![]()
![]()
Tuliokaa kimya tunajua sababu ya kufanya hivyo
......