Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Makapuku
Ha ha ha ha ha ha hammh lini ulimpigisha sound mama mchuchu anaempigisha sound mpaka sasa binamu obe nae ameweka siraha chini ameamua amuachie mukongo wake
Rafiki kipenz Mbona Unapenda ugomvi?Ila wewe
Bora kuwaelimisha ili mwenye kujua ajue make sikuwa najua kipi kinaendeleaa ...japo niliona wageni wengii...Hampaswi kuwapa "sirI" tunayoyaongea huku
Yaani mmewaelezea kila kitu
Siku wakiiga mtaanza kulialia
Nashangaa hakukuwa na ulazima wowote kwenda kule kufafanua
Ni km mnamuelekeza jirani jinsi ya kutengeneza juisi tamu ambayo wewe unaiuza
![]()
![]()
![]()
Tuliokaa kimya tunajua sababu ya kufanya hivyo
Kafuteni bhana
......
AkhaaaaaRafiki kipenz Mbona Unapenda ugomvi?
Jamaa ni mtaalamu wa kusepa na kijiji, yani kila fix anaijua yeye na kama hiyo laptop yake ingekuwa inaongea basi ingenena mengi jinsi inavyosingiziwa.denoo hahha ebu acha kumzungumzia lege usitukumbushe machungu ujue jana nilivyoona notification zake nikajua anaweka mke mwee unamuona denoo
mmh lini ulimpigisha sound mama mchuchu anaempigisha sound mpaka sasa binamu obe nae ameweka siraha chini ameamua amuachie mukongo wake
Utapata tu binamu ucjali huwezi kosa kbsa
Mkwe kwema mama?OK
Msalimie sanaaa, mwambie moyo wangu ni mweupe kwake
foreverMakapuku
UsijidanganyeBora kuwaelimisha ili mwenye kujua ajue make sikuwa najua kipi kinaendeleaa ...japo niliona wageni wengii...
Sisi ni waungwana ngoja watujuee
Mzeiya nipo mimi huku ndio founder wa makapukuulkuwa wap mzeiya..umepotea
RafikiiiiiiiiiiiAkhaaaaa
Kwan SHIMBA hajaiendelezaShemela kwema,hadithi yetu umetuacha njia panda![]()
![]()

Kamaida mkuuAfande shedede niaje
unamnyonga ke au meNakuonaa nakuonaaa
Niko porini hamna net, namalizia kunyonga mtu hapa nitakupigia
shemela habari za vyeusi mangala abaki nazo mwenyewe![]()
![]()
leo binamu umemtupa?
nimefanyaje shemela jamaanWewe shemela
Asante Bitoz1/Olm![]()
![]()
Hawa ni amphibia waishio kwenye maji ya chinichini
Hupatikana huko Italy, Croatia na Slovenia
Upendelea kujificha kwenye mapango
Wana jeuri ya kukaa bila kula kwa muda wa miaka 10
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......