Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
Wakuu habar za jioni
ulkuwa wap mzeiya..umepoteaHuku tupo mzee usiogope
Naitwa Tumosa jamanhuku salama kabisa, Tumaso hajambo??
Akuu!Tumosa unataka kuwa kungwi wa Demi?
Hivi mama chungaji na sound lote nililomoiga kipindi kile cha kwaresima bado kamshikilia Baba mchungaji?mbona mumeo kasema unamjua ngoja akija nitakutambulisha
Shukrani, nimeona na kuipitia mwanzo hadi page ya sasa hivi.
Nimejifunza kimoja tu, wakati mwanzisha uzi anataka kujua kuhusu hapa, wachangiaji wengi (ukiondoa member wa huku) hawajui wanachangia nini na wanaishia kulalamika kuwa sisi tunalalamika tu.
Mlalamikaji anayelalamikiwa.
Wanaamini 'likes' ni za bwerere tu huku na ukija mgeni unapewa mke (sic) mimi niko hapa hata mchumba tu sijapata na ni leo tu nimekataliwa kwa tangazo kama la msikitini.
Ninajisikia vizuri kuwa hapa.
SN (serious note na sio sexual and nudity) huku wapo waungwana , wasomi (msomi ni nani? Siku nyingine tena) ambako tunaamini hakuna hoja ya kijinga, tunajifunza mengi na si kujua mengi.
Hatuhitaji kujitetea kwa awaye yeyote, hatuna sababu ya kufanya hivyo. JF ni kubwa sana na Makapuku forum ni sehemu ya JF.

Humu hadi Paw pamemkosha na kucomment jana LIVE babake
Pia moderator wa jukwaa hili anaingiaga anaitwa Bridger na keshawahi kucomment na hata kunipa ushauri PM
Hao wapuuzi wachache wasiwaumize kichwa
Hulka ya binadamu ni unafiki na wivu tu...
km "hawaingiiagi humu" wanayajuaje ya huku
Unafiki
.......

unacheka tu au sio
Niko siasani shemejiShemela shunie hataki nijue unapoishi
Kweli kabisa...kweli eeh, yaani najifananisha na mgombea aliyeshindwa, wanaompa pole ni wengi kuliko kura alizopata.
Haya asante kwa kutofurahia huku ukitabasamu moyoni.
Na wanaofurahia leo nawakomesha subirini tu, tusilaumiane. Na msiseme natishia
in Diva's voiceNaitwa Tumosa jaman
mmh lini ulimpigisha sound mama mchuchu anaempigisha sound mpaka sasa binamu obe nae ameweka siraha chini ameamua amuachie mukongo wakeHivi mama chungaji na sound lote nililomoiga kipindi kile cha kwaresima bado kamshikilia Baba mchungaji?
Ila weweWakuu habar za jioni
![]()
![]()
shemela shululu hajakosea kukuchagua mke mwee upo kama dada angu sakayo hakubali kuona naonewa anaweza hata kunyonga sijui T ndio kamfundisha kunyonga
me nakupenda kweli mke mweee so mtu anapokuudhi natamani kununua kesi aiseee