Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nashukuru sana ndugu yangu kwa kunielewa hata mimi nitamweleza wife amaizing..My wife unajua kabisa ndugu yako youngblood yuko kwenye hard tym tangu mpenzi wake Nahrene apotelee pasipo julikana sasa kwenye kipindi hiki akiwa mpweke usisite kuwa unampa Company kama kaka tu na isivuke mipaka hata kama nikwenda naye disco mi sintojali na ukirudi usiku wa manane ntakufungulia mlango tu..
Khaaass

Bby thanx sana kwa huo uaminifu ila nirud saa nane halafu wewe nikuache na nani?????????
 
Braza unataka kujifunza Ulozi?
Hapana ndugu yangu unajua huu ndiyo wakati mtaalamu ama ticha kaonekana sasa nataka kutumia nafasi hii kujifunza kitu kupanua ufahamu tu mshana jr amebobea kwenye hizo mambo sana...Yaana akiamua kutuchukulia wake zetu huku wote anawachukua tena hii ni taadhari wife amaizing, shem wangu aggyjay , lizziebettie , Nahrene popote alipo, Patience123 wakae mbali sana na huyu mtu asee..
 
Ntashukuru sana mkuu...Na ni kweli kuna dawa mtu unaweza pewa ikiwa inasababisha kukubaliwa na kila mwanamke unayemtaka yaani kwa mfano unakutana na amaizing barabaran nikimtaka tu ananifuata na labda nakutana na shem wangu lizziebettie nikimgusa tu anakuja...Na hata Jimena nikikutana nae kwenye kidala dala nikishuka tu nayeye ananifuata...Je hii ni kweli na inafanyaje kazi?
Bby unataka hiyo dawa kwa matumizi gani tena???
Unaniogopesha my
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom