Makapuku Forum

Makapuku Forum

Cc
manuu
1461647504914.jpg
 
Tupo salama kabisa, ila tulikuwa na mgogoro kidogo kuhusu baby wangu aggyjay na shemejiye youngblood.
Dah! Pole sana ila shemeji yangu youngblood tangu mpenzi wake Nahrene atoweke bila taarifa amekuwa ni mtu wa mawazo sana sasa kumsaidia wewe mpe darasa tu my wife wako aggyjay aendelee kumfariji tu kwa kumwita majina matamu ila asipitilze mipaka mpaka pale Nahrene atakapo patikana...Na the same nitafanya kwa wife wangu amaizing awe nae karibu tu amfariji..
 
Dah! Pole sana ila shemeji yangu youngblood tangu mpenzi wake Nahrene atoweke bila taarifa amekuwa ni mtu wa mawazo sana sasa kumsaidia wewe mpe darasa tu my wife wako aggyjay aendelee kumfariji tu kwa kumwita majina matamu ila asipitilze mipaka mpaka pale Nahrene atakapo patikana...Na the same nitafanya kwa wife wangu amaizing awe nae karibu tu amfariji..
Anitafute haraka
 
Dah! Pole sana ila shemeji yangu youngblood tangu mpenzi wake Nahrene atoweke bila taarifa amekuwa ni mtu wa mawazo sana sasa kumsaidia wewe mpe darasa tu my wife wako aggyjay aendelee kumfariji tu kwa kumwita majina matamu ila asipitilze mipaka mpaka pale Nahrene atakapo patikana...Na the same nitafanya kwa wife wangu amaizing awe nae karibu tu amfariji..
Basi sawa kwa vile umeniambia wewe braza wangu, nitajitahidi nitaongea nae baby wangu aggyjay.

cc: my sweet aggyjay
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom