Makapuku Forum

Makapuku Forum

94b973366635ff05e5fa7a717e7a31cb.jpg

Jionee tofauti
Fisadi v Mlipa kodi

..........................
 
Hapana ndugu yangu unajua huu ndiyo wakati mtaalamu ama ticha kaonekana sasa nataka kutumia nafasi hii kujifunza kitu kupanua ufahamu tu mshana jr amebobea kwenye hizo mambo sana...Yaana akiamua kutuchukulia wake zetu huku wote anawachukua tena hii ni taadhari wife amaizing, shem wangu aggyjay , lizziebettie , Nahrene popote alipo, Patience123 wakae mbali sana na huyu mtu asee..
Ukishapewa useme kabisa nisije panda daladala na wewe mana itakuwa kazii
 
Watu hawana undugu tena na vitu kama hivi ndiyo vinafanya tushindwe kuwaruhusu wake zetu kwenda kumfariji youngblood maana ghafla watatupia ule music unaosema ''shemeji shemeji huku mwazimaa taaaa''
Kwani ndugu hawatoki out?? Usisahau tuliuza nyumba moja ya urithi....
Hata mimi nimeshaliona hili.
 
Ukishapewa useme kabisa nisije panda daladala na wewe mana itakuwa kazii
Usitie shaka hakuna uwaribifu unaoweza tokea baiana ya kaka na dada labda upenda wa Agape tu....Kuna jamaa yeye alipewa kilikuwa kimzizi anakitafuna akikutana na msichana aliempenda anakitafuna chochote anachokueleza huruki hata kama ulikuwa unaenda church utageuza umfuate aendapo na mkishamaliza tu tendo pendwa ndo fahamu zako zinakurudia ila too late..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom