Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,342
- 829,494
Kuna mahali kuna uchambuzi mzuri sana kuhusu hili ngoja nikipapata takutagOK...Mkuu naomba nieleweshe hili kama utakuwa unajua...Nini kilifanya paka wakawa wanatumika kwenye maswala ya kishirikina na mbwa wala sungura?