Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna mahali kuna uchambuzi mzuri sana kuhusu hili ngoja nikipapata takutag
Ntashukuru sana mkuu...Na ni kweli kuna dawa mtu unaweza pewa ikiwa inasababisha kukubaliwa na kila mwanamke unayemtaka yaani kwa mfano unakutana na amaizing barabaran nikimtaka tu ananifuata na labda nakutana na shem wangu lizziebettie nikimgusa tu anakuja...Na hata Jimena nikikutana nae kwenye kidala dala nikishuka tu nayeye ananifuata...Je hii ni kweli na inafanyaje kazi?
 
Basi sawa kwa vile umeniambia wewe braza wangu, nitajitahidi nitaongea nae baby wangu aggyjay.

cc: my sweet aggyjay
Nashukuru sana ndugu yangu kwa kunielewa hata mimi nitamweleza wife amaizing..My wife unajua kabisa ndugu yako youngblood yuko kwenye hard tym tangu mpenzi wake Nahrene apotelee pasipo julikana sasa kwenye kipindi hiki akiwa mpweke usisite kuwa unampa Company kama kaka tu na isivuke mipaka hata kama nikwenda naye disco mi sintojali na ukirudi usiku wa manane ntakufungulia mlango tu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom