Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kwa hiyo naye humtakiiiWewe si umempa binamu yako Obe
Wew una matatizoo
Kwa hiyo naye humtakiiiWewe si umempa binamu yako Obe
Utaniii
Baadaye Rafiki.... ....make sure that my dada is always happy.205 k
Ongeraaaaa![]()
![]()
![]()
ShikamooNini hio ya honey wako?
Aiseeungekua unanipenda usingetaka kuniongezea mke wa pili
Poa poa mtoto wa Wenger, za pande hizoAje ajee ajee machali zangu, mko poa jamani
Karibu tupoooMakapuku
Unamtisha sana shemela wangu mpaka anachanganya maandishiGyping![]()
![]()
![]()
Kirahisi tukama ataweza kumlea kama mtoto wake wa kumzaa amlee
Hongera kwa 205K
1975 - Allen Iverson anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa Kikapu toka nchini Marekani.
Sifa za Mwanamme bora..
1. Hanywi Pombe
2. Havuti Sigara
3. Hachepuki
4. Mkweli
5. Mcha Mungu
6. Ana Hela
7. Handsome
8. Mpole
9. Anajua Mapenzi
10. HAYUPO DUNIANI.
Sisi wa Duniani tuvumiliane tuu.. Maana Vita ya Kumtafuta Mume Bora haijawahi kumuacha Mtu Salama
![]()

Warabu wa pemba wanajuana kwa vilembamweeh uuchunage tu typing
Duh aiseeNimekumbuka kitu ....
Eti ata mukiwa kwenye tightly point mnasemagaa hivoo...
Mfsno ...chaliii vipiii mbona unarembaaaa ??
HahahahaHivi mm mbona hunipagi mambo adimu kama hayoo
Kipande hii kwema kabisaa sema kabaridi Fulani hviPoa poa mtoto wa Wenger, za pande hizo