Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Lee jibu analoukimaanisha
Nimekuachiaaaa demiiLee huwezi dadaangu awe mtawa akose raha za ardhini.. ...ntahakikisha kwa gharama yoyote hilo lisitokee.






nafurahi kusikia hivyoNakuheshimu sana si ndo maana nakuita dada....
akufweee tu hakuna namnaBhinamu wangu jamaniii
Haweziiii unataka atundikee juu na makofiiikama ataweza kumlea kama mtoto wake wa kumzaa amlee
ha ha haaaaaaaaaa hayaaaa. kila la kheri! Mkihitaji ushauri am here!Tamaa tu nimekomaaa
Demi sikutakiii tena natulia na my wifeee
Naona umerudi kupokea maflower kwa mama mchuchu,karibu nyumban shemelaMorning semegi![]()
mweeh uuchunage tu typingGyping![]()
![]()
![]()
Inaniumaa ujuee![]()
we ni mwehu
1970 - Cafu anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Brazil.
Pia amewahi kucheza katika klabu ya Ac Milan kwa mafanikio makubwa.
Amecheza katika fainali tatu za Kombe la Dunia, Mwaka 1994 wakishinda kombe la Dunia dhidi ya Italy Mwaka 1998 wakifungwa fainali dhidi ya Ufaransa na mwaka 2002 wakishinda kombe la Dunia dhidi ya Ujerumani.
Ndiye beki bora wa kulia kuwahi kumshuhudia.
hahahah yaan weweLee huwezi dadaangu awe mtawa akose raha za ardhini.. ...ntahakikisha kwa gharama yoyote hilo lisitokee.
obe akakufwee kwa mbele mama mchuchu ni wa mukongo
aje apokee asante na likes znamtosha
tamaa ya nini ilikuaTamaa tu nimekomaaa
Demi sikutakiii tena natulia na my wifeee
Nimekumbuka kitu ....Unacheka nn au hujazoea kuitwa chaliii
nakupenda mie jamaan baba d wanguNimekuachiaaaa demii
Shunie wangu ananitoshaa
Hahahaha...Sifa za Mwanamme bora..
1. Hanywi Pombe
2. Havuti Sigara
3. Hachepuki
4. Mkweli
5. Mcha Mungu
6. Ana Hela
7. Handsome
8. Mpole
9. Anajua Mapenzi
10. HAYUPO DUNIANI.
Sisi wa Duniani tuvumiliane tuu.. Maana Vita ya Kumtafuta Mume Bora haijawahi kumuacha Mtu Salama
![]()