Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Leo katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie siku njema.
Sina la ziada, niwatakie siku njema.
Fursa hiyo kutoka kwa rafiki kipenziHilo ni jukumu langu .... Yaani sihitaji kukumbushwa....sema jengine baby.

hbd cafu1970 - Cafu anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Brazil.
Pia amewahi kucheza katika klabu ya Ac Milan kwa mafanikio makubwa.
Amecheza katika fainali tatu za Kombe la Dunia, Mwaka 1994 wakishinda kombe la Dunia dhidi ya Italy Mwaka 1998 wakifungwa fainali dhidi ya Ufaransa na mwaka 2002 wakishinda kombe la Dunia dhidi ya Ujerumani.
Ndiye beki bora wa kulia kuwahi kumshuhudia.
kwa nini sasa ananishangaaAnakushangaa
nipo poa shemela hofu kwako tuUko poa lakini shemela wangu
Ila kiukweli naongeza mke mdogo inabidi umpe somo ..muishi kwa upendo uliotukukaakuna mda kinachoka
Nini hio ya honey wako?Mzee wa kungoa shkamoo na ww naona unaitamani ya hny wangu
Beki wa kupanda na kushuka akifanya ile kitu inaitwa Azuu mataa Azuu kitaa.HBD Cafu, sijawahi kumshuhudia akipewa kadi nyekundu, nafikiri hajawahi kupewa aisee
Anajua sana majukumu yake ya uwanjani
kuna salaam zako kwenye uzi ule wa sakayoMshenga nataka kuongeza mkee
Mama mchuchu mama maflower anakuonaaaamimi jaman kweli
lakini shemela me si nilikua kotekote jamaan au ulikua hauoniUnamuuza Mr wako
niko poa mke mweeNko poa umeamkaje
Nakuonaaa tuuSema sasa Rafiki
Asante kwa leo katika historia mkuu musolini Uwe na siku njemaLeo katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie siku njema.
Nawajua team against me.....Mama Mchuchu hatujakutana barabarani(in a certain politician's voice )

1975 - Sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia la kwanza la Kriketi zaanza huko England
Asantee mkuuLeo katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie siku njema.
Niko poa kabisanipo poa shemela hofu kwako tu
Asante Mussolin kwa historiaLeo katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie siku njema.
baba kiroho safi tu mimi kushare siwezi kama unaongeza me najitoaIla kiukweli naongeza mke mdogo inabidi umpe somo ..muishi kwa upendo uliotukukaa
Shukumu langu nalijuaa