Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
aiseeKuongeza majukumu
aiseeKuongeza majukumu
Yes apige game sio aanze za kuleta hapaNimekumbuka kitu ....
Eti ata mukiwa kwenye tightly point mnasemagaa hivoo...
Mfsno ...chaliii vipiii mbona unarembaaaa ??
nimefanyaje jamaanIla wewe
Hiiii kama ya mukongooo ....sitakiii mmhahhahah acha nikupe basi![]()
![]()
![]()
5gUzi una speed aisee
Kinomaaa ...make j3 watu walisema kumepoaaUzi una speed aisee
Kweli kabisa... I'm serioushahahah yaan wewe
khaaaaHiiii kama ya mukongooo ....sitakiii mm
Kazana sasa umtunzee mdogo wangu DemiMi nilijua tu vurugu zako ni Ngoma ya kitoto hio haikeshi
Watuachieee toto letuu
1990 - Iggy Azalea anazaliwa.
Ni rapa wa muziki wa Hiphop kutoka nchini Australia.
Mwanadada huyo anafanya muziki wake nchini Marekani.
Ndoa yenu tusingekuwa tunaijua, ingetupasua kichwa, lakini sasa hatuna pressure kabisanakumiss pia
Wewe si umempa binamu yako ObeKazana sasa umtunzee mdogo wangu Demi
Ndoa yenu tusingekuwa tunaijua, ingetupasua kichwa, lakini sasa hatuna pressure kabisa