BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Itakuwa alikuwa anataka maua tu, mikwala mingi kumbe mauahahhahah acha nikupe basi![]()
![]()
![]()
Marahaba za uzima mpendwa wangu ubarikiwemama mchuchu shikamoo mama angu
Upo dear za uzima karibu sanaAje ajee ajee machali zangu, mko poa jamani
Cjambo dear mekumiss Mwenyeww mama Mchungaji,ahsante sanaUpo dear za uzima karibu sana
I see,wapooooSifa za Mwanamme bora..
1. Hanywi Pombe
2. Havuti Sigara
3. Hachepuki
4. Mkweli
5. Mcha Mungu
6. Ana Hela
7. Handsome
8. Mpole
9. Anajua Mapenzi
10. HAYUPO DUNIANI.
Sisi wa Duniani tuvumiliane tuu.. Maana Vita ya Kumtafuta Mume Bora haijawahi kumuacha Mtu Salama
![]()
simtaki binamu Obe...Siutakiiii ushaurii wako
Baki na bhinamu obe
Mmmh!Nimekumbuka kitu ....
Eti ata mukiwa kwenye tightly point mnasemagaa hivoo...
Mfsno ...chaliii vipiii mbona unarembaaaa ??
Ndio hivyo shemela![]()
![]()
shemela
HahahahaMwanao shunie huko aliko ameshikilia mbavu, si kwa kucheka huko
Hatari sana mkuu
Leo sasa uko speed 260 km/hrKinomaaa ...make j3 watu walisema kumepoaa
Hahahaha![]()
![]()
mke mwee umeua hizo ndio za binamu alizozizoea na emoji ya ngumi
Kifaa cha ukweli hicho