Makapuku Forum

D.B Cooper alikuwepo nje ya Top 10
Alikuwa # 14
Pia ningemuandika yaani ningemweka kwenye top 10 ila stori yake nafikiri humu wengi walishaisoma kule kwa "bwana yule" hivyo afadhali hao wengine stori zao baadhi hazijasikika
.....
 
D.B Cooper alikuwepo nje ya Top 10
Alikuwa # 14
Pia ningemuandika yaani ningemweka kwenye top 10 ila stori yake nafikiri humu wengi walishaisoma kule kwa "bwana yule" hivyo afadhali hao wengine stori zao baadhi hazijasikika
.....
Halafu ukimtaja si ajabu "bwana yule" akataka acknowledgement...
Ni mkali kweli kweli kwenye haya mambo!
 
D.B Cooper alikuwepo nje ya Top 10
Alikuwa # 14
Pia ningemuandika yaani ningemweka kwenye top 10 ila stori yake nafikiri humu wengi walishaisoma kule kwa "bwana yule" hivyo afadhali hao wengine stori zao baadhi hazijasikika
.....


Niombe kitu mdau, kila mmoja ana aina yake ya uandishi. Zipo source kadhaa zinatofautiana so, kwa hili. Ukipata muda hebu muandike huyu Cooper, una style nzuri ya kuandika na inavutia.

Well, ni jambo zuri ukiandika na ukaweka humu. Binafsi uandishi wako na suportives unanifanya nipende kusoma unapopost. Take your time buddy, hata aya tatu tu zinatunufaisha Makapuku
 
Mpaka leo sijaona wa kumfananisha katika muziki wa zouk.

Ahsante umenikumbusha mbali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…