Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Yaishee mkuu ....Yeah! Ni lazima nikiri. Mkeo ana mvuto wa aina yake. Ndo maana ni celebrity hapa JF. Nilikuwa tayari kuuza mashamba yangu ya nyanya kabisa kisa tu nimeona avatar ya mwanamke mweupe amekaa kitini. Wajua tena sisi wanakolomije na wanawake weupe. Wivu wako uliopitiliza kimo uliniokoa![]()
Sawa kiongozNenda Google itakusaidia zaidi
Mimi nimeweka maelezo km nilivyoyapata hivyo kama upo interested ingia chimbo ukipata km kuna upungufu unanirekebisha au hata kujazia nyama
Kumbuka naandika ishu za watu 10 hivyo siwezi kuwa deep sana kwanza muda hautatosha kabisa
......
Yeah! Ni lazima nikiri. Mkeo ana mvuto wa aina yake. Ndo maana ni celebrity hapa JF. Nilikuwa tayari kuuza mashamba yangu ya nyanya kabisa kisa tu nimeona avatar ya mwanamke mweupe amekaa kitini. Wajua tena sisi wanakolomije na wanawake weupe. Wivu wako uliopitiliza kimo uliniokoa![]()
Niko poaSijambo sana ustaadhat Husna usiye na husda.
Uko poa lakini? Za leo
Nenda Google itakusaidia zaidi
Mimi nimeweka maelezo km nilivyoyapata hivyo kama upo interested ingia chimbo ukipata km kuna upungufu unanirekebisha au hata kujazia nyama
Kumbuka naandika ishu za watu 10 hivyo siwezi kuwa deep sana kwanza muda hautatosha kabisa
......
atasema msukumaUnafikiri Lee atasema ukweli juuyo? Lee huyu huyu au kuna mwingine?
Ha ahhahahaha, mwanamke mweupe ukashindwa kuuza mashamba ya nyanya Hongera. Mimi niliwahi kutokomea na hela za sanda, yaani ilibidi marehemu azikwe na shuka la hospital
*NB: sio mimi mimi, ni mjombaangu*
this is not fear!!! Nyie ndioo mnaosababisha wanawake wajichubue
![]()
![]()
binamu leo weka basi nyimbo ya wanaume wameumbiwa mateso
ila msukuma zamani ulikua haupo hivi kabisa hivi unakumbuka kipindi sijafunga pm tulikua tunachat sana sijui kama unakumbukaYeah! Ni lazima nikiri. Mkeo ana mvuto wa aina yake. Ndo maana ni celebrity hapa JF. Nilikuwa tayari kuuza mashamba yangu ya nyanya kabisa kisa tu nimeona avatar ya mwanamke mweupe amekaa kitini. Wajua tena sisi wanakolomije na wanawake weupe. Wivu wako uliopitiliza kimo uliniokoa![]()
Niko poa
Za leo njema tu naona mnalisongeshaa
ndio lakina maswali hayo anatakiwa aulize shemelaMke mwee wakoo si mke wangu au ??
![]()
this is not fear!!! Nyie ndioo mnaosababisha wanawake wajichubue
![]()
mjomba ako yupiii binamuHa ahhahahaha, mwanamke mweupe ukashindwa kuuza mashamba ya nyanya Hongera. Mimi niliwahi kutokomea na hela za sanda, yaani ilibidi marehemu azikwe na shuka la hospital
*NB: sio mimi mimi, ni mjombaangu*

kwahiyo hiyo lini sasa jamaan lee wangu kuna siku alikua anaiuliziaHa hahahahahha, tulia kidogo kwanza leo nakuja na mtu anaitwa Oliver ....anakung'uta gitaa huyu utasema kichaa aliyevamiwa na chawa.
mjomba ako yupiii binamu![]()