Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni huyu huyu unayemjua wewe, muulize vizuri. Maana alitokomezwa na alipoonekana tayari tumeshaanua matanga. Ikabidi tu atulie ndo kumpata cheusi (hii ni kabla hajakupata wewe)

Happy nakupa historia, mambo ya zamani sio ya sasa usijefanya ishu ukanigombanisha na anko wangu
hivi binamuuu we una mpango gani wa mimi na mjomba ako hivi ninavyokulalamikia kwako burudani kabisa
 
3/Roald amandsen
34522ce8f81ed89034a0a12f204e6288.jpg

Alizaliwa July 1872
Alikuwa ni mpwlelezi wa Kinorway
Alipotea June 1928 pamoja na wenzake watano wakati wakiitafuta timu/kundi la wapelelezi lililokuwa likiongoza na Umberto Nobile huko Barents Sea
........


 
2/Ambrose Bierce
e57d70473d3e224ba8ec08b14e583065.jpg

Alizaliwa mnamo June 1842..Alikuwa ni n mwanahabari na mwandishi wa Kimarekani
Pia alikuwa ni mpiganaji/soldier wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Marekani
Alitoweka Desemba 26 1913 wakati akisafiri na kikundi cha waasi kuelekea Mexico kwenye mapinduzi
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom