Makapuku Forum

Makapuku Forum

ISAYA 40

31."Bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya;watapanda juu kwa mbawa kama tai;watapiga mbio wala hawatachoka.

TUOMBE

Baba asante kwa kutufikisha umbali huu,asante kwa wema wako na fadhili zako zisizo na mwisho.

Bariki kazi,ndoa,familia,wasafiri.

Ponya wagonjwa,watie moyo wafiwa ,yatima.

Tutie nguvu ya kukungoja wewe na kukutegemea siku zote za maisha yetu.

Baba tunakupenda,tunakuheshimu,tunakutukuza,kunakushukuru kwa yote tunayoyapitia..upo nasi daima Mfalme wa Amani.

Roho Mtakatifu tawala maisha yetu,tufundishe kusamehe,Upendo na uvumilivu daima

Katika jina la Yesu Kristo mpatanishi na mwokozi wetu..Amen

MUWE NA SIKU NJEMA ,MBARIKIWE
 
ISAYA 40

31."Bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya;watapanda juu kwa mbawa kama tai;watapiga mbio wala hawatachoka.

TUOMBE

Baba asante kwa kutufikisha umbali huu,asante kwa wema wako na fadhili zako zisizo na mwisho.

Bariki kazi,ndoa,familia,wasafiri.

Ponya wagonjwa,watie moyo wafiwa ,yatima.

Tutie nguvu ya kukungoja wewe na kukutegemea siku zote za maisha yetu.

Baba tunakupenda,tunakuheshimu,tunakutukuza,kunakushukuru kwa yote tunayoyapitia..upo nasi daima Mfalme wa Amani.

Roho Mtakatifu tawala maisha yetu,tufundishe kusamehe,Upendo na uvumilivu daima

Katika jina la Yesu Kristo mpatanishi na mwokozi wetu..Amen

MUWE NA SIKU NJEMA ,MBARIKIWE
Aminaaaaaaa
 
Ya kwako uliulizaa hivo...eki nimesikia kuna kapuku ananipenda yaan wewe unasema hivo ...mukongo akanitajaaa

Mukongo be blessed with Blessedhope


Yaani nyie watu wawili tena ndugu zangu, tangu mwanzo nilijua tu hamuwezi kunisaidia kumpata BH maana mna histohisia na mukongo, anyway nimeridhika na asante.

Na ninamshauri waziri wa mazingira azuie uuzwaji wa maua kwani yanaharibu mazingira ya moyo wangu (ofkozi kama yanaletwa kwangu yatakuwa yakotreated yawe salama kwa afya ya mazingira)
 
nimecheka sana jamaan acha mukongo niwe upande wako tu
lee ataniweza na ubonge huu

Mh!!! amuna shida kwani ni mashindano na kukomoana au malovee na kupeana maraha???

cc: lee empire

sawa kupeana raha lkn kuna kubebana ataweza nibeba mm

Mwanaume Mwanaume tu atakubeba usihofu

si kwa unene huu atanitupa

Kupenda unakusikia kwenye redio nini?.....ungejua!

ha ha lee come this way
 
Yaani nyie watu wawili tena ndugu zangu, tangu mwanzo nilijua tu hamuwezi kunisaidia kumpata BH maana mna histohisia na mukongo, anyway nimeridhika na asante.

Na ninamshauri waziri wa mazingira azuie uuzwaji wa maua kwani yanaharibu mazingira ya moyo wangu (ofkozi kama yanaletwa kwangu yatakuwa yakotreated yawe salama kwa afya ya mazingira)
Bhinamu mm niko kwakoooo ....
 
Yaani nyie watu wawili tena ndugu zangu, tangu mwanzo nilijua tu hamuwezi kunisaidia kumpata BH maana mna histohisia na mukongo, anyway nimeridhika na asante.

Na ninamshauri waziri wa mazingira azuie uuzwaji wa maua kwani yanaharibu mazingira ya moyo wangu (ofkozi kama yanaletwa kwangu yatakuwa yakotreated yawe salama kwa afya ya mazingira)
 
317f809a131f8b3b92fcddf375ceaecf.jpg
Ule msemo kuea Damu nzito kuliko maji hapa umeshindwa kuchukua nafasi
 
Mchunga mbuzi sasa naingia kujinafasi + kufunga magoli km CR7 kupitia assist anazotoa Dikteta kwenye historia
.
.
.
Ahsante Lee kwa fact zilizotukuka
.
.
.
Ahsante kaka ake Lulu kwa magazeti
Spika Ndugai kazi imemshinda
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom