Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Edit bhasi umuwekee tuflower kidogoZa asubuhi Obe,umeamshwaje?ubarikiwe
Asante Baba D kwa ufTuwe na siku njema wanafamilia yetu pendwa na kama kawaida yetu ....![]()
Unajifanya humjuiiii ...ndo ulivomleaa![]()
![]()
una dhambi sana
Pumzika kwa Amani Mzee wetu Ndesamburo.
shemela wangu mimi apa asante kwa magazetiView attachment 519979Kwa udhamini mnono wa Chaplin
Nawatakieni wote siku njema
baby mweePamojaa mume mweeee
Shemela jana ulitaka kujua, leo ndio umejua![]()
shemela hata ww
Bhinamu uko poa ??
Nisamehe saa yako nilikorofisha mm kipind kile ulivokuwa na cheusi mangala ukaogopa kwenda nayo unaweza kuibiwa ...nilirudisha nyuma mda ili tukae sana maeneo yetu
Anyway nasikia umemtorosha mama maflower wako

Umetutengaa lakin mama maflower
mama mchuchu aka ma flowers lazima atutenge mukongo si hayupo
mama mchuchu shikamoo mama msalimie sana baba mchuchuUbarikiwe sana mkuu Shululu asante kwa magazeti siku njema
mama mchuchu mpe basi na binamu yetu obe maflowers asante zimemchoshaHahahaha Lee nipo naandaa maflower![]()
![]()
![]()
mmh bila maflowers kweliiii mama mchuchuZa asubuhi Obe,umeamshwaje?ubarikiwe
hahahhhEdit bhasi umuwekee tuflower kidogo
hapana banaUnajifanya humjuiiii ...ndo ulivomleaa
hahahhh akiii lee si mzimaShemela jana ulitaka kujua, leo ndio umejua
Tuko poaaNimekuja kuchungulia tu,jamani wenye mji hamjambo?