Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Niambie semegi yake na mimi muzee ya mbogo Papaa MukulukuluPapaaaa mutu ya mipesa mingiiii![]()

Niambie semegi yake na mimi muzee ya mbogo Papaa Mukulukulu![]()



halaf nimeambiwa kuna mtu ananipenda uku makapuku ni nan huyo au leeKwa habari mubashara kwa table ya mimi ni lee kama kuna mwingine hilo faili pana fika kwa meza yanguhalaf nimeambiwa kuna mtu ananipenda uku makapuku ni nan huyo au lee
Kwa habari mubashara kwa table ya mimi ni lee kama kuna mwingine hilo faili pana fika kwa meza yangu



lee ataniweza na ubonge huu
Mh!!!lee ataniweza na ubonge huu
amuna shida kwani ni mashindano na kukomoana au malovee na kupeana maraha???Mwenzio kaleeembaamwandiko kama kapita chura




sawa kupeana raha lkn kuna kubebana ataweza nibeba mmMwanaume Mwanaume tu atakubeba usihofusawa kupeana raha lkn kuna kubebana ataweza nibeba mm
Kupenda unakusikia kwenye redio nini?.....ungejua!si kwa unene huu atanitupa
Kupenda unakusikia kwenye redio nini?.....ungejua!